nimemwambia ahakikishe PCB anafunika pwenti 5, lazima awe mkali ili nimpeleke HavardI just edited what I said, sikugusa ulicho sema wewe... Halafu mpolee yuko wapi? anasoma hata sunday? ukimuona mpe salam.
Mazee inaonyesha una siri flani huko unatuficha, tumpe mwangaza ili nasisi tufanye.exactly
zipo nyumba ndogo mtu unaambiwa kabisa
wahi kurudi kwa mkeo.'sitaki matatizo mie' lol
nimemwambia ahakikishe PCB anafunika pwenti 5, lazima awe mkali ili nimpeleke Havard
exactly
zipo nyumba ndogo mtu unaambiwa kabisa
wahi kurudi kwa mkeo.'sitaki matatizo mie' lol
Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Mimi napenda mwanamke anifikirie pia bana! kama yeye ana uhakika hawezi kunipatia ile kitu at least kila baada ya siku 2 na anajua mimi nikiikosa ile kitu kwa siku 2 napoteza memori mpaka za besdei yangu, sasa hauoni kwamba kunibania nyumba ndogo ni mateso? (Huu ni mfano tu). Mwanamke anaempenda na kumfikiria mwanaume lazima atamwachia tu. Shem hauna ndugu wa kike mwenye msimamo kama wako? lol
Nadhani umejikatia tamaa kuachana na mambo ya kuktesa wakati mumeo hataiacha. Vizuri kujipa raha mwenyewe kuliko kuteswa na mambo ya nyumba ndogo, maana mume akishapenda hawezi kuiacha nyumba ndogo kama haijamkorofisha.
Wapendwa je wote mu wazima?
Nisaidieni ninaomba kwani nafikiri sijitambui au sijijui.
Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Je inawezekana kuwa sijawahi kupenda? au?
Je kuna mwenzangu/wenzangu ambao wana hali kama hii?
Naona hukusoma the very first post ya The Boss, ungeelewa comment yake zaidi.Which means?
Naona hukusoma the very first post ya The Boss, ungeelewa comment yake zaidi.
Wapendwa je wote mu wazima?
Nisaidieni ninaomba kwani nafikiri sijitambui au sijijui.
Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Je inawezekana kuwa sijawahi kupenda? au?
Je kuna mwenzangu/wenzangu ambao wana hali kama hii?
Siku ukiletewa gonjwa la zinaa utaendelea kutokushtushwa na kutokupata shida?
rafiki, na zipo nyumba ndogo ambazo zinakutumia sms kukuambia mimi ndo nyumba ndogo ya mumeoexactly
zipo nyumba ndogo mtu unaambiwa kabisa
wahi kurudi kwa mkeo.'sitaki matatizo mie' lol
mara nyingi mtu anaenda huko nyumba ndogo kwa tamaa tu................ sasa kama bado ana haja na mkewe hawezi kuweka mambo hadharani, lazima adanganye.... mimi anidanganye tu, maana akiniambia ukweli kwamba ana nyumba ndogo nitaumia sana, maana hadi kufikia kuniambia, najua mambo yameshakuwa magumu kwanguThis is the type of discussion that changes my day from a sunny lovely to a rainy muddy one. . .
Mwanajamiione, nadhani sio lazima Nyumba Ndogo ikukere. wengine wanaona sawa tu. Binafsi kinacho nikera zaidi ni the lies involved. Kama mambo yote yanawekwa wazi, then people can take any decision knowing that it is based on facts, not assumptions.
Ukisema I have the perfect marriage, you know what you mean, ukisema I want to leave my man you know what you mean. But most of men lie to both Nyumba kubwa and Nyumba Ndogo who then believe in things that don't really exist and that is what makes it even uglier than it already is to me.
Umeona eeh! pressure ya nini na kila mtu ana mwili wake?umeona fixed point ukitaka kujifia mapema beba kila kitu
Aisee, usikute wewe unaandika maneno yangu! nashangaa tu hapaNi kweli usemayo The Boss ila tatizo langu mie ni kuwa hata akirudi saa kumi usiku na vituko juu kwangu ilikuwa ni ngumu kuanza kuumizwa na ....lazima atakuwa na mwanamke mwingine nje" bali nilikuwa naumizwa na ile ya kutotoa taarifa mapema kuwa atachelewa kurudi!!!