Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,300
Ahaa! Ndala Sports, mmeaanza kuweweseka? Tarehe 29 kichapo chenu kipo palepale! Na Ubingwa mtausikia kunako mwaka huu. Mleteni sasa Mzee Akilimali, khee! kheeee! kheeeeeeeeeeee!Way forward ni kubadili mfumo wa uendeshaji.... Hizo nyingine ni blah blah. Mfumo wa unachama kushika timu ni pasua kichwa.
Mfumo mbovu ndio Huleta viongozi wabovu. Usitegemee kupata viongozi katika mfumo mbovu ulioanzishwa na wanachama wanaoitegemea timu badala ya kinyume CHAKE.Pia Madrid inamfumo wa wanachama na Arsenal ina mfumo wa hisa. Tatizo la club zetu ni viongozi halafu mifumo ndo inafuatia
Naunga mkono hoja, mabadiliko ni lazimaMfumo mbovu ndio Huleta viongozi wabovu. Usitegemee kupata viongozi katika mfumo mbovu ulioanzishwa na wanachama wanaoitegemea timu badala ya kinyume CHAKE.
Mfano wa arsenal sijauelewa, ila kama unamaanisha kwamba japo wao wanafuata mfumo wa hisa lakini ni wabovu hapo utakuwa umekosea. Wameshafika UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL, wamefika nusu fainali mara kadhaa, sasa hivi wapo EUROPA NUSU FAINALI. Wamedumu kwenye ushindani na timu imara, bora na zenye mifumo mizuri kwa miaka Mingi tu.
Real Madrid ipo chini ya wanachama lakini structure yao unaifahamu. Kuna Wanachama, body of directors, rais. Uongozi wao upo very well organized (wanamfumo mzuri). Lakini kikubwa kuliko vyote, ni timu yao inaendeshwa kibiashara sio kama Yanga.
Mzee akilimali hajawahi kuwa mchezaji pale ni mwanachama kama wengine. Kutufunga hakuwafanyi muwe timu kubwa na yenye a fan base kubwa nchini. Tahadhari msing'oe viti maana huwa mnaingia mkiwa na matarajio makubwa.Ahaa! Ndala Sports, mmeaanza kuweweseka? Tarehe 29 kichapo chenu kipo palepale! Na Ubingwa mtausikia kunako mwaka huu. Mleteni sasa Mzee Akilimali, khee! kheeee! kheeeeeeeeeeee!
Yule ambae ni bingwa kulalamika kwenye tvMzee wa saba ni Nani?
Huyu ana nunua mechi.Tatizo Simba anashinda Sana.
Habari wanamichezo!
Tangu kujiuzulu kwa Manji timu sauti ya mamlaka ya kiungozi imepotea!Huo ndo ukweli hata ukibisha. Tatizo la Mzee Sanga nikupenda madaraka ambayo pia hajui atayapataje,yupo yupo tu ,kifupi hajielewi.
Kajaribu kuwajaza watendaji wa upande wake ,lakini nao ni tatizo yaani mizigo .Yanga chini ya Clement Sanga imekuwa yanga ya malalamiko, na kibaya zaidi tumeaminishwa kuwa timu haina pesa ,mpaka wengine tumechangia. Timu ina udhamini:
Vodacom
Maji ya Afya
Yanga tv kupitia azam TV
Sportpesa.
Gate collection n.k.
Cha ajabu mishahara inacheleweshwa ,wachezaji hawaambiwi sababu, kama kuna upungufu ni wa kiasi gani wanachama hatujui. Ni ngojera kila uchao.
Mzee huyu ameshindwa hata kuitisha mkutano wa wanachama ili nafas hiyo izibwe,sasa katuwekea Katibu ambae anaetamani kuwa Kocha,very selfish, sasa amemleta msemaji ambae ameshindwa kuisemea brand ya timu yetu. Umaarufu wa timu unashuka ,si bora Jerry Muro pamoja na mapungufu kadhaa ila alisaidia kuimarisha brand ya club yetu.
Ndugu Dismas ten ,hata huko alikotokea hakuwa jina lenye ushawishi,sijui ni ndugu wa Mzee Sanga.
Nasikia eti Mzee wa saba anaitaka timu ,sawa. Asifikirie yanga nikama taifa stars ,watu watamfanyia vurugu kama Nchunga.
Naskia umeitwa mkutano mwezi Mei, lengo ni kubadili Muundo wa wendeshaji, sambamba na hilo . Uongozi chini ya Sanga utupishe tujaribu akili mpya , hata huyo atakaenunua hisa namuonea huruma,Atapata hasara isiyo mithilika. Tunataka akili mpya .Na siendi uwanjani tena. Mpaka hata majinamizi yapishe.
Huyu ana nunua mechi.
Mzee wa timu inahali mbayaMzee wa saba???!! Ni nani huyu?? dah
Ni bora kuwa na matumaini haya.Lakini tutawakamata Simba tu huko juu. Huwa wanatangulia hadi pointi nane lakini tunawashika! Hata mwaka huu tutawapita tuu kama kawaida
Utakuwa hujielewi wew, au nyie ndo mnanufaika. Makundi hiyo hatua Sanga ndo kawesha kwa namna gan?Halafu Mzee Akilimali sio sehem ya post hii kama unamwashwa mtafute kivyako.Clement Sanga hakuwa tatizo hadi Yanga imefuzu hatua ya makundi kombe la CAF.
Sasa akina Mzee Akilinyingi wataibuka kutaka mkutano kuchagua viongozi wapya.
Akilinyingi mumeo? MtafuteUtakuwa hujielewi wew, au nyie ndo mnanufaika. Makundi hiyo hatua Sanga ndo kawesha kwa namna gan?Halafu Mzee Akilimali sio sehem ya post hii kama unamwashwa mtafute kivyako.
Ndo maana nikasema hujielewi wewAkilinyingi mumeo? Mtafute
Now what do you say, maana sasa kombe tumeshakosaMfumo mbovu ndio Huleta viongozi wabovu. Usitegemee kupata viongozi katika mfumo mbovu ulioanzishwa na wanachama wanaoitegemea timu badala ya kinyume CHAKE.
Mfano wa arsenal sijauelewa, ila kama unamaanisha kwamba japo wao wanafuata mfumo wa hisa lakini ni wabovu hapo utakuwa umekosea. Wameshafika UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL, wamefika nusu fainali mara kadhaa, sasa hivi wapo EUROPA NUSU FAINALI. Wamedumu kwenye ushindani na timu imara, bora na zenye mifumo mizuri kwa miaka Mingi tu.
Real Madrid ipo chini ya wanachama lakini structure yao unaifahamu. Kuna Wanachama, body of directors, rais. Uongozi wao upo very well organized (wanamfumo mzuri). Lakini kikubwa kuliko vyote, ni timu yao inaendeshwa kibiashara sio kama Yanga.