Tatizo ni matumizi mabaya ya kodi zetu. Kama zingetumika vizuri hakuna mtanzania angelalamika.

Tatizo ni matumizi mabaya ya kodi zetu. Kama zingetumika vizuri hakuna mtanzania angelalamika.

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali.

Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika.

Kama mpaka sasa hivi baada ya miaka 60 bado baaadhi miji na vijiji havina maji, barabara ni mbovu, shule hazina madawati. Mnategemea tuweze kulipa kodi ya uzalendo kirahisi?

Mnaanzisha vyanzo vya mapato bila kufanya tathimini.
 
Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali.

Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika...
Mwendazake alitumia pesa zetu kuliipia wasiojulikana na kununulia wapinzani. Hadi leo Hazina ni nyeupe ndio maana wanahaha
 
Ukubwa wa Serikali unapelekea Matumizi Makubwa ya Fedha ambazo ni Kodi za Masikini
Ma-DC 120
Ma-Das 120
Ma-Ded 200
Ma-Ras 26
Ma-RC 26
Wabunge 400
Mawaziri na Manaibu
Makatibu Wakuu na manaibu
Wote hawa Magari ya Gharama ,Posho,Mishahara wabunge ni kufuru mishahara yao
 
Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali.

Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika...
Taratiibu najua akili zitarejea kwenye reli,na tutafanya yatupasayo kwa njia iliyokuwa bora.
 
Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali.

Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika...
Tukiwa bado na pigo la ajira serikalini imeona utupige tena.
Lakini ndio wameongeza tozo.
 
Ukubwa wa Serikali unapelekea Matumizi Makubwa ya Fedha ambazo ni Kodi za Masikini
Ma-DC 120
Ma-Das 120
Ma-Ded 200
Ma-Ras 26
Ma-RC 26
Wabunge 400
Mawaziri na Manaibu
Makatibu Wakuu na manaibu
Wote hawa Magari ya Gharama ,Posho,Mishahara wabunge ni kufuru mishahara yao
1.Na ndio baadhi ya matumizi mabaya,kuongeza idadi ya mikoa kiholela haituongezie maendeleo ni kuongeza upigaji tu.
2. Kutoa ubunge kama hisani kwa viti maalumu ni wizi mtupu,wala havina impact kwa wananchi ni kuongezea mwananchi kodi.Ni lipi la ziada wanafanya huko wabunge wasio na majimbo?Hasara zake ni pammoja na kupunguzia wabunge wa majibo air time ya mazungumzo bungeni.
3.Ziko nchi kama South Afrika anafanya shughuli za Taifa zaidi ya miji mitatu Cape Town ni Bunge,Johannesburg ni Mahakama kuu,na Pretoria ni executive. Kwa kuwa ana uwezo kifedha na kiuchumi.Tukija kwetu kujenga makao makuu Dodoma wakati Dar ilikuwepo ni kutumia ovyo ovyo pesa za umma bila kuwajibika,sasa tunabebeshwa tozo jipya kwa kujenga mambo yasiyokuwa vipaumbele eti solidarity?
4.Kama ni solidarity ianzie kwa lifestyle za mawaziri,wabunge,Ma RC,DC,na hao wengine.watumie magari madogo kama Suzuki au Bajaj tutelewana.
5.Mwisho wabunge wachague mmoja kulipwa mshahara usiokatwa kodi au kulipwa allowance tu wakati wa vikao rasmi vya bunge kwa namna hiyo solidarity inawezekana.
 
Zaidi ya 65% kama sio 70 ya bajeti ya nchi kwa mwaka huu ni matumizi ya kawaida..yaan running cost za kuendesha nchi.

Natamani tutoke huko.
iwe walau 60-40

Hizi kodi za kuumiza hufarijiwa na mlipaji kuona kitu fulan tangible au kinachoonekana wazi kimefanyika.

Nitashangaa tena kusikia nguzo za tanesko bado zinanunuliwa, madawati hamna nk
 
Ukubwa wa Serikali unapelekea Matumizi Makubwa ya Fedha ambazo ni Kodi za Masikini
Ma-DC 120
Ma-Das 120
Ma-Ded 200
Ma-Ras 26
Ma-RC 26
Wabunge 400
Mawaziri na Manaibu
Makatibu Wakuu na manaibu
Wote hawa Magari ya Gharama ,Posho,Mishahara wabunge ni kufuru mishahara yao
Wote hawa wanapewa mafuta bure kwenye ma v8 yao ya kupelekea shule watoto wao yanayotafuna kodi zetu,bado services za magari hayo.
 
Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali.

Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika.

Kama mpaka sasa hivi baada ya miaka 60 bado baaadhi miji na vijiji havina maji, barabara ni mbovu, shule hazina madawati. Mnategemea tuweze kulipa kodi ya uzalendo kirahisi?

Mnaanzisha vyanzo vya mapato bila kufanya tathimini.
You have nailed it man, tatizo hawa wanatumia kodi zetu kwa maslahi yao, hovyo hovyo mpaka zaonekana ndogo kumbe hawajipangi wala kupanga matumizi yake, tumewachoka kabisa
 
Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali.

Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika.

Kama mpaka sasa hivi baada ya miaka 60 bado baaadhi miji na vijiji havina maji, barabara ni mbovu, shule hazina madawati. Mnategemea tuweze kulipa kodi ya uzalendo kirahisi?

Mnaanzisha vyanzo vya mapato bila kufanya tathimini.
We si unateteaga ccm
 
Back
Top Bottom