Tatizo ni nini hasa CHADEMA?

Tatizo ni nini hasa CHADEMA?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
20240824_090709.jpg
20240824_025055.jpg
 
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwahiyo aliloibua mwenyekiti kuhusu utekaji kwako ilikuwa ni kituko! Wewe ni chawa wa ajabu uliota ukurutu, kwako kila kisemwacho na viongozi wa Chadema ni kituko!
 
Kwahiyo aliloibua mwenyekiti kuhusu utekaji kwako ilikuwa ni kituko! Wewe ni chawa wa ajabu uliota ukurutu, kwako kila kisemwacho na viongozi wa Chadema ni kituko!
aliloibua mwenyekiti taifa,

makamu mwenyekiti hataki hata kuliskia wala kulizungumzia,

ndio kwanza anaibua kutuko kingine ili kufunika hoja ya mwenyekiti wake, hii ni nin hassa?:pulpTRAVOLTA:
 
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Hayo mashindano yasiyojulikana ya ku trend yanaratibiwa wapi? Refa nani?

Ukweli mchungu mama Samia anawajua hata Simba Luwala!
 
Mkuu naona huachi kuitaja CDM. Achana nayo fanya mishe nyingine au anzisha mada mbadala
mim si mbobevu wa mambo haya gentleman?

na ndio kazi na taaluma yangu,
ni muhimu ukafanya mishe nyingine wewe ikiwa ukweli huu kisiasa unakukwaza au kukubabaisha:pulpTRAVOLTA:
 
Hayo mashindano yasiyojulikana ya ku trend yanaratibiwa wapi? Refa nani?

Ukweli mchungu mama Samia anawajua Simba Luwala!
ni wabobevu ambao ni visionary politician ndio pekee wananweza kupiga darubini kisiasa kumulika na kuona kinachoendelea otherwise,

kama ni wa kuamini ushirikina na kusubiri miujiza utaona giza tu:pedroP:
 
ni wabobevu ambao ni visionary politician ndio pekee wananweza kupiga darubini kisiasa kumulika na kuona kinachoendelea otherwise,

kama ni wa kuamini ushirikina na kusubiri miujiza utaona giza tu:pedroP:

Ukiona bosi wako anawajua hadi Simba Luwala ujue hata wanyama wengine anawajua.

Jifunze kutambua acknowledgements walizo nazo mabosi wako kwa wengine.

Vinginevyo siyo siri utakuwa zwazwa tu.
 
Ukiona bosi wako anawajua hadi Simba Luwala ujue hata wanyama wengine anawajua.

Jifunze kutambua acknowledgement walizo nazo mabosi wako kwa wengine.

Vinginevyo siyo siri utakuwa zwazwa tu.
no muhimu kuzingatia mapambano haya muhimu sana ya mafahali hawa wawili ndani ya chama kimoja kwasababu, ni darasa ni darasa zuri na muhimu sana kisiasa kwa vijana na wanasiasa wote kwa ujumla....

muhimu tu pasitokee kuumizana vibaya ingawa causalities hazitaepukika mwisho wa hili zogo la kibabe kugombania ukubwa :pedroP:
 
no muhimu kuzingatia mapambano haya muhimu sana ya mafahali hawa wawili ndani ya chama kimoja kwasababu, ni darasa ni darasa zuri na muhimu sana kisiasa kwa vijana na wanasiasa wote kwa ujumla....

muhimu tu pasitokee kuumizana vibaya ingawa causalities hazitaepukika mwisho wa hili zogo la kibabe kugombania ukubwa :pedroP:

Wewe umeikomalia CDM, kwani huko CCM yenu mlishamaliza?
 
Wewe umeikomalia CDM, kwani huko CCM yenu mlishamaliza?
mimi sijaikomalia chadema na sina haja wala sababu hata moja kufanya hivyo, ila ninachokifanya ni kujaribu kuweka wazi mambo yanayoendelea miomgoni mwa waandamizi wake, na kwakweli kuwaandaa wana chadema kisaikolojia, kwasababu yatakayokuja kutokea yanafurahisha kisiasa, licha ya kua na maumivu makali na athari kubwa kwenye demokrasia ndani ya chadema yenyewe :pulpTRAVOLTA:

kwahivyo mimi ni mtu mzuri sana, yafaa kupewa maua yangu tafadhali...
 
Ikiwa wewe si Chadema, unaathirika vipi??

Pilipili usiyoila inakuwashia nini???
 
Back
Top Bottom