Tatizo ni nini? Nimeshuhudia mtu mzima leo akikimbia sindano

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370

Nilienda kumsalimia ndugu yangu huko hospitalini ila katika pitapita zangu huko nikaona kuna mtu mzima msumbufu balaa anaogopa kuvutwa damu kwa sindano ili wampime anaumwa ugonjwa upi, Nimesikitika na kucheka kwa wakati moja.

HIVI BADO KUNA WATU WAZIMA WANAOGOPA SINDANO?
 
Daaah!!uyo ni mkubwa mwili tu na miaka ila namna ya kifikiri si dhani
Kama ni mwanaume itakuwa wa dar
 
Ndio mkuu pia kuna wadada wanaogopaga wale mijusi wa ndani (mjusi kafiri) ila dudu ya inchi saba hawaogopi.
 
Kile kifaa kinaogopesha,sio yeye tu..alafu utaona nurse mwingine kaishika kwa mbwembwe ili akutishe kama huyo kwenye picha
 
Inaitwa Trypanophobia [emoji23][emoji23]
Ni kama watu wanaoogopa urefu wa gorofa kuangalia chini
Ni phobia wala usimshangae


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mie nilishaghairi mara kadhaa kupima vipimo vinavyohusisha kutoana damu,sindano inaogopesha kweli
Aah,mambo ya kutoboana ngozi siyo kabisa, kuna doctor alinisema huyoo "wewe ni mwanamke, Kuna sindano za kutosha siku ukija kuwa mjamzito blah blah acha kujiendekeza"aarg niliona tu ananivuruga na ugonjwa wangu[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…