Tatizo ni uzinzi au ulevi?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Jirani yangu aliondoka juzi usiku akamuaga mkewe kuwa anaenda bar kuzuga. Hakurudi, akipigiwa simu zilikuwa zinasikika sauti za walevi, wake kwa waume. Mwisho simu ikawa haipatikani kabisa.
Leo muda huu wa saa nne ndo mumewe anarejea, amelewa, na amechoka. Suruali haina mkanda na inamdondoka, mbaya zaidi ni kwamba kwa ndani inaonekana chupi ya kike ikiwa imevaliwa na huyo kaka.
Mkewe kamwingiza ndani, umbea zaidi ntawaleteeni baadae.
Ila hii aibu imetokana na nini, pombe au wanawake?
 
Nazjaz leo tukanywee wapi? Pale Fair way leo kuna ka mvuto flani hivi.......
 
Nazjaz leo tukanywee wapi? Pale Fair way leo kuna ka mvuto flani hivi.......

sema nao mwana....watulize tusker malt za kutosha....nikifika nikute zishatulia
 
Mke yupi kati ya wale watatu nilio nao?

Yule uliye baki naye (aliye kuwa nyumba ndogo ukaweka kuwa nyumba kubwa) , otherwise kama wale wawili walio kupiga burn wamekuhusu kukanyaga kwao.
 
hahahaha.......walibadilishana jezi...si unajua baada ya game...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…