Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Maandiko yanasema Mungu ndio muumba wa kila kitu, alimuumba mwanamume na baadae akaona siyo vyema aishi peke yake akamletea msaidizi mwanamke.
Kuna video nimeiina mitandaoni inasikitisha sana vijana wadogo wakiume sasa ni mashoga, kuna mmoja wao wakati anahojiwa akadai amezaliwa akiwa na homoni za kike.
Mimi kama mzazi ambaye nina kijana wa kiume hii inanifikirisha sana, kama Mungu ndiye Muumba wa binadamu anaweza vipi kumuumba bianadamu wa kiume mwenye homoni za kike?
Au kuna makosa sisi kama wazazi huwa tunayafanya kipindi cha ujauzito? Kama kuna vitu vinavyochangia mtoto kuzaliwa na homoni tofauti ni vyema jamii zikaelimishwa ili kuepuka haya matatizo maana yamekuwa mengi sana.
Kuna video nimeiina mitandaoni inasikitisha sana vijana wadogo wakiume sasa ni mashoga, kuna mmoja wao wakati anahojiwa akadai amezaliwa akiwa na homoni za kike.
Mimi kama mzazi ambaye nina kijana wa kiume hii inanifikirisha sana, kama Mungu ndiye Muumba wa binadamu anaweza vipi kumuumba bianadamu wa kiume mwenye homoni za kike?
Au kuna makosa sisi kama wazazi huwa tunayafanya kipindi cha ujauzito? Kama kuna vitu vinavyochangia mtoto kuzaliwa na homoni tofauti ni vyema jamii zikaelimishwa ili kuepuka haya matatizo maana yamekuwa mengi sana.