Tatizo pale Simba SC ni mashabiki

Tatizo pale Simba SC ni mashabiki

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mashabiki wa Simba wajitafakari wasiwe mashabiki oya oya wanaodanganywa.

Leo wanamlaumu Mangungu, Siku ya mkutano mkuu wa uchaguzi aliwapa tu ubwabwa na akamleta Manzoki aongee, basi wenyewe wakampa kura zote za ndiyooo.

Na tuliwaasa kuhusu hili jambo na propaganda zote.

Leo wanasema Yanga tunahusika wakati wanachama wa Simba ndo walimchagua Mangungu.

Proganda nyingi hapo zimefanyika hapo Simba mashabiki mbumbumbu wakakataa kuzimekemea na tuliwaasa, mfano.

Mlete mdhungu, huyo mzungu alikuwa anakimbia kama ametoka kutahiriwa

Kushangilia kibegi, eti kilifunika siku ya mwananchi, wao mbumbumbu walipeleka kibegi wananchi tukapeleka kombe kileleni.

Mafanikio ya WhatsApp group, yani mashabiki wanajivunia eti team kuwa na group la Whatsapp ni mafanikio
.
Mpaka saiv Bado hawajatambua kuwa adui wa Simba ni Mo. Sasa kwakuwa nyinyi ni mbumbumbu hatuwambii muandame Mangungu atoke ili tuwapige 8
 
Hivi mashabiki ndio wanachagua viongozi
Tatizo la Simba ni viongozi, ulisikia malalamiko yao mo alikuwa hatoi pesa na hata za mikataba ya matangazo alikuwa akichelewesha lakini bado wanakataa kuingia mikataba mingine Kama ya NIC au pikipiki na Azam tv kisa kumfurahisha mo.
 
Hivi mashabiki ndio wanachagua viongozi
Tatizo la Simba ni viongozi, ulisikia malalamiko yao mo alikuwa hatoi pesa na hata za mikataba ya matangazo alikuwa akichelewesha lakini bado wanakataa kuingia mikataba mingine Kama ya NIC au pikipiki na Azam tv kisa kumfurahisha mo.
Shabiki hachagui kiongozi, kiongozi anachaguliwa na wanachama hai wa club
Basi hao viongozi ni mbumbumbu km wao 51% halafu waoga ni umbumbumbu na ujinga..hawajitambui
 
Shabiki hachagui kiongozi, kiongozi anachaguliwa na wanachama hai wa club
Basi hao viongozi ni mbumbumbu km wao 51% halafu waoga ni umbumbumbu na ujinga..hawajita

Hivi mashabiki ndio wanachagua viongozi
Tatizo la Simba ni viongozi, ulisikia malalamiko yao mo alikuwa hatoi pesa na hata za mikataba ya matangazo alikuwa akichelewesha lakini bado wanakataa kuingia mikataba mingine Kama ya NIC au pikipiki na Azam tv kisa kumfurahisha mo.
Rage ashawaita mbumbumbu inatosha
 
Mnaumia sana nyie vyura...tunaona maumivu yenu...huyo Mo mpaka mumuote.....kimewauma sana Mo kurudi kwenye utendaji maana alijitenga akawa ndugu mtazamaji ndo yakawa kama yalivyokua...mlitaka tubaki na Mangungu wenu peke yake mwenye mna ajenda nae.....mnataka muwavuruge wana Simba wamdhihaki Mo ili club ife..kama kuna muwekezaji anaitaka Simba mbona hatumuoni?? Mtupishe
 
Mashabiki wa Simba wajitafakari wasiwe mashabiki oya oya wanaodanganywa.

Leo wanamlaumu Mangungu, Siku ya mkutano mkuu wa uchaguzi aliwapa tu ubwabwa na akamleta Manzoki aongee, basi wenyewe wakampa kura zote za ndiyooo.

Na tuliwaasa kuhusu hili jambo na propaganda zote.

Leo wanasema Yanga tunahusika wakati wanachama wa Simba ndo walimchagua Mangungu.

Proganda nyingi hapo zimefanyika hapo Simba mashabiki mbumbumbu wakakataa kuzimekemea na tuliwaasa, mfano.

Mlete mdhungu, huyo mzungu alikuwa anakimbia kama ametoka kutahiriwa

Kushangilia kibegi, eti kilifunika siku ya mwananchi, wao mbumbumbu walipeleka kibegi wananchi tukapeleka kombe kileleni.

Mafanikio ya WhatsApp group, yani mashabiki wanajivunia eti team kuwa na group la Whatsapp ni mafanikio
.
Mpaka saiv Bado hawajatambua kuwa adui wa Simba ni Mo. Sasa kwakuwa nyinyi ni mbumbumbu hatuwambii muandame Mangungu atoke ili tuwapige 8
wenye sauti Simba ni wanachama na mwekezaji. hao mashabiki ni vyura tu wasioweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.
 
Mnaumia sana nyie vyura...tunaona maumivu yenu...huyo Mo mpaka mumuote.....kimewauma sana Mo kurudi kwenye utendaji maana alijitenga akawa ndugu mtazamaji ndo yakawa kama yalivyokua...mlitaka tubaki na Mangungu wenu peke yake mwenye mna ajenda nae.....mnataka muwavuruge wana Simba wamdhihaki Mo ili club ife..kama kuna muwekezaji anaitaka Simba mbona hatumuoni?? Mtupishe
Nje ntiti ndani ntiti! Hapo patamu sasa.
 
Mnaumia sana nyie vyura...tunaona maumivu yenu...huyo Mo mpaka mumuote.....kimewauma sana Mo kurudi kwenye utendaji maana alijitenga akawa ndugu mtazamaji ndo yakawa kama yalivyokua...mlitaka tubaki na Mangungu wenu peke yake mwenye mna ajenda nae.....mnataka muwavuruge wana Simba wamdhihaki Mo ili club ife..kama kuna muwekezaji anaitaka Simba mbona hatumuoni?? Mtupishe
Mo hajawahi kukaa pembeni hizo ni propaganda za kukwepa kuwajibika ili lawama ziende kwa wengine angekua serious asinge mrudisha Try again hapa tunachezewa akili kama mazuzu
 
Mnaumia sana nyie vyura...tunaona maumivu yenu...huyo Mo mpaka mumuote.....kimewauma sana Mo kurudi kwenye utendaji maana alijitenga akawa ndugu mtazamaji ndo yakawa kama yalivyokua...mlitaka tubaki na Mangungu wenu peke yake mwenye mna ajenda nae.....mnataka muwavuruge wana Simba wamdhihaki Mo ili club ife..kama kuna muwekezaji anaitaka Simba mbona hatumuoni?? Mtupishe
Pole sana mtani kwa hiki kipindi kigumu unachopitia wewe binafsi na hiyo timu yako.
 
Msinikwoti kwoti.....hamuwezi nibadilisha mawazo yangu...
 
Mo atajimilikisha Simba kimya kimya huku akiwahadaa mashabiki kwa "furaha" fake! Kuja kustuka hawana timu!
 
Msinikwoti kwoti.....hamuwezi nibadilisha mawazo yangu...
Sisi tunamtaka mo maana Mangungu anatusumbua hadi tunashindwa kuwapiga 8
Aje hiyo mo tuongeze mabango
 
Mashabiki wa Simba wajitafakari wasiwe mashabiki oya oya wanaodanganywa.

Leo wanamlaumu Mangungu, Siku ya mkutano mkuu wa uchaguzi aliwapa tu ubwabwa na akamleta Manzoki aongee, basi wenyewe wakampa kura zote za ndiyooo.

Na tuliwaasa kuhusu hili jambo na propaganda zote.

Leo wanasema Yanga tunahusika wakati wanachama wa Simba ndo walimchagua Mangungu.

Proganda nyingi hapo zimefanyika hapo Simba mashabiki mbumbumbu wakakataa kuzimekemea na tuliwaasa, mfano.

Mlete mdhungu, huyo mzungu alikuwa anakimbia kama ametoka kutahiriwa

Kushangilia kibegi, eti kilifunika siku ya mwananchi, wao mbumbumbu walipeleka kibegi wananchi tukapeleka kombe kileleni.

Mafanikio ya WhatsApp group, yani mashabiki wanajivunia eti team kuwa na group la Whatsapp ni mafanikio
.
Mpaka saiv Bado hawajatambua kuwa adui wa Simba ni Mo. Sasa kwakuwa nyinyi ni mbumbumbu hatuwambii muandame Mangungu atoke ili tuwapige 8
Mbumbumbu hao kwa kulingana na Rage na kazio la Kaduguda.
 
Mashabiki hawana msaada
Hawachangii uanachama wao
Hawanunui jezi
Hawaendi uwanjani
 
Mnaumia sana nyie vyura...tunaona maumivu yenu...huyo Mo mpaka mumuote.....kimewauma sana Mo kurudi kwenye utendaji maana alijitenga akawa ndugu mtazamaji ndo yakawa kama yalivyokua...mlitaka tubaki na Mangungu wenu peke yake mwenye mna ajenda nae.....mnataka muwavuruge wana Simba wamdhihaki Mo ili club ife..kama kuna muwekezaji anaitaka Simba mbona hatumuoni?? Mtupishe
Dada bhn, me nakukubali sana dada yangu.
 
Back
Top Bottom