Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

mkuu dizaini wewe muimba taarabu eeh?

mbona signature yako imekaa kimipasho-mipasho tu?


(lakini kweli UDSM kuna vilaza. mfano Bansen Burnner)


Ni kweli mzee mimi ni mjukuu wa mzee Juma Bharo, kila jumamosi huwa naimba pale lango la jiji na kiberiti changu nimeweka mavi maalum kwa ajili ya kunusa ilikunipa mzuka.
Hapo kwenye red sijui nimekuelewa vizuri au naota tu..
 

Wahitimu wa UDSM mnasemaje.Nadhani hakuna haja ya malumbano.You are definately above this rubbish.
 

utumbo mtupu.mbona wanaodisco udsm wanaenda kusoma ditna mzumbe na kumaliza. .
 
Mtoa mada acha kuandika ushuzi.
Fahamu kuwa mzumbe, DIT, IFM, CBE, VETA huko kuna wanafunzi.

Ila UDSM kuna wasomi.
 
Unamaana waliosoma mlimani hawafai kuwa marais wa nji hii? Acha hizo mkuu, Mkwere ni asili ya watu wa pwani tu ndivyo walivyo, wakishiba basi inatosha!!
 
Kumbe ulisoma Mzumbe......wewe siyo cream ya taifa hata mawazo yako yanaonyesha tu. Huwezi kutoa general comment kwa ukilaza wa mtu mmoja. By the way vyuo kama Mzumbe ni vipanga sana ndiyo maana waalimu wao wananunua PHD zao.
 
nadhan ufanye research siyo kukurupuka.sitaki kutaja majina ya makampuni ambayo kwa sasa wameamua kuajir wahtimu wa Bcom baada ya kuona wa vyuo vingine hawafanyi vizuri kama wa ud.
 

Kutoa tamko lako kwa ujumlajumla namna hii inaonyesha kuwa wewe ni kilanza.
 
Kwa wenye busara kutokukujibu ndio jambo sahihi. Lakini bado utakuwa haujasaidika. Unachotaka ni kuanzisha ligi ambayo itaifurahisha nafsi yako.

Hao wengi hujasema ni kina nani hivyo nikiwa uzao wa mlimani lazima nikujibu. Mimi tusi hujibiwa kwa tusi busara na hekima vinasubiri kwa muda.

Umeamua kuonyesha ujinga wako hadharani. Umeanika upuuzi wako. Umethibitisha vilaza wengi wanatokea wapi. Nina uhakika JK angekushinda darasani. Makamba mngekuwa mnapishana, term hii anakuwa wa 42 kati ya 43 term inayofuata unakuwa wa 42 kati ya 43!
 
Papa D, hebu tujuze mwalimu wako aliekupa usomi wako alisoma wapi? Halafu mbona mkituita ku-lecture (part time) mnatuita 'flying lecturers'.
 
True story ni kwamba wote wanataka kusoma UD,ila wanapokosa nafasi ndio wanaangalia option zingine na kuanza kupiga majungu kuhusu UD.UD ni habari nyingine ndugu zangu, you cant compare it with any other university / college in this country
 
Mnajisumbua kumjibu mbumbu huyo, anavisasi na watu walikuwa wanamtesa darani toka shule ya msingi, form four na form six na hatimaye wakamwacha jiapanda wakielekea mlimani, yeye akijoin vyuo vya mafundi mchundo na masecretary.Chuo ni mlimani kwa Tanzania, kama unabisha jaribu kuappy competative International scholarship kwenye fani moja na mtu wa mlimani ndio utapata machungu kwa nini ulifeli form six
 
i never imagine still kuna watu wenye mtizamo mgando,ukilaza wa mtu katika utendaji hauhusiani na chuo alichosoma,wake up guys lets focus...
 

hapa umenena.
 
i never imagine still kuna watu wenye mtizamo mgando,ukilaza wa mtu katika utendaji hauhusiani na chuo alichosoma,wake up guys lets focus...

Titans;

Sasa ndio kwanza umelata hoja ya kujadiliwa!!
...Kweli taking all your time kujadili ..Vyou kwa namna inayoendelea hapa!!!/
...I should say the same ..Guys work up ..there are serious and important things infront of you for disccusion, digest and speculate!!
 
True story ni kwamba wote wanataka kusoma UD,ila wanapokosa nafasi ndio wanaangalia option zingine na kuanza kupiga majungu kuhusu UD.UD ni habari nyingine ndugu zangu, you cant compare it with any other university / college in this country
Juzi nilikuwa nasoma CV ya Dr. Sally Kosgey, Waziri wa viwanda wa Kenya, nikashangaa kuona amesoma UDSM, nilipofuatilia nikagundua kuna wanasiasa na viongozi wengi wa Kenya wamesoma UDSM akiwemo AG Amos Wako, Bado mtasema UDSM ni ya Vilaza, UDSM ni chuo Bora Africka Mashariki, wapende wasipende!
 
Wewewewewewewewewewew................Ukweli ni kwamba, Mwalimu JK Nyerere aliweka mifumo kuhakikisha hakuna kabila linaachwa nyuma katika maendeleo.... thus why mtu aliyekua na alama nyingi.. kwa mfano kutoka kanda ya ziwa aliachwa na mkware alie kuwa na alama za chini alipata fulfa ya kusoma sekondary. People during Mwalimu were selected to join various levels of education by quata.
Kwa mantiki hiyo hiyo, thus why mkwere huyu alipata fulsa ya kuwakilisha ndugu zake wacheza midundiko. Kwa ufupi alipokuwa anasoma mlimani ninauhakika alikua kilaza kwelikweli, sina uhakika kuhusu GPA yake, lake kwa yale anayoyafanya GPA yake haiwezi kuzidi 2.7.

UDSM is a mother University in Tanzania. Pole sana wewe uliekua na hamu sana ya kusoma UDSM lakini sababu ulifail (hukua na grades zinazoitajika pale the hill)...Ukachukuliwa na Tumaini, Ruco, Mzumbe etc. Hoja yako ni mfu. Naomba kuwasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…