Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

Kifupi elimu ya Tz inatia aibu sana. Kwa kuwa UD ni chuo kikongwe inchini tulitegemea kiwe mfano wa elimu iliyotukuka but am afraid that UD ni kati ya vyuo ambavyo wanafunzi wapo shallow sana. Unajua Tz ni kati ya nchi za ajabu ambapo mwanafunzi hata wa shahada ya uzamili wanaweza ku-graduate bila hata ya kusoma kitabu au recently published papers kabisa. Unaweza kurithi madesa tu ama masimbi kama wanavyoyaita ambayo mengi yana mbinu za kikufunzi za mwaka 47. Na ukijibu mitihani na tofauti na desa linavyotaka basi umekwenda na maji.Sasa mini naomba tubadilikie vinginevyo tutaendelea kubaki nyuma. Hizi zio zama za kutoa wahitimu COPY & PASTE Siisifii sana SUA lakini naweza kusema ni mojawapo ya chuo kinachoheshimika sana nje ya mipaka ya Tz hasa hasa kwenye nyanja ya utafiti na wahitimu wake wanaonekana kuwa na uwezo wa juu wa kuwa na critical and lateral thinking. I s.hit you not trust me.
 
Lengo la elimu ya nadharia ni kutengeneza wabunifu wa mawazo na vitu. Kwa hili UDSM kisilaumiwe. Wewe kama hukusoma hapo uache wivu na uchafuzi. Zitto, mwakyembe, magufuli, mimi ni zao la udsm. Wako wengine wengi. Hao wa idm na dit wanaandaliwa kufanyia kazi kile kilichopo na ndio maana wanafundishwa kazi na sio nadharia. Wala tatizo si udsm bali mfumo uliopo. Utasema ni kutokana na wana udsm alumni. Kwani wote wa idm na dit hawana makandokando ya kiutendaji?
 
Wewe una matatizo ya akili ni bora uwahi MIREMBE,

Maneno yako sawa na kumtukana baba yako kwa kuwa akili yako imesinyaa

sababu hiyo ndiyo maana unalinganisha UDSM na mzumbe na DIT sababu hujui tofauti zake. Mzumbe na DIT tangu enzi vipo kwa ajiri ya kutoa technicians wa fani mbalimbali wakati UDSM inatoa viongozi.

Sikujua kama kuna punguani kama wewe wenye akili kama Makamba katibu mkuu wa ccm
 
enyi wanaJF nawambieni,UDSM kwa sasa inabebwa na historia yake,currently ni zero,generation ya kina prof. Shivji na lwetama ikiondoka UDSM kwisha habari yake,itakuwa overtaken vibaya sana na hivi vyuo vingine.Watanzania hatuna utamaduni wa kutunza na kuendeleza vitu vizuri tulivyonavyo.
 
If you look closer to this guy, you will see that this is a way he came about in his family. I don't think the guy is smart at all and it's seem that college time he was filling his brain with empty books. Brain is full of selfishness, usanii, ufisadi and love of power.
 
oooooooooh! Inahitaji statement kujua mtu ni shabiki wa timu gani. Pia inahitaji,statement moja kujua mtu kasoma watu. ukijua hilo, haihitaji mjadala.
 
mleta hii sred ni kilaza kumzidi JK, anashindwa kutofautiaha kati ya uboras wa elimu na utendaji kisiasa.Agustin Mrema akiwa na Diploma alitenda mengi mazuri kuliko watu na PhD zao.Jk hasumbuliwi na quality ya elimu yake bali hana uzalendo.Kama wazee wa vijijini wameweza kutambua uozo wa Dowans utatuambiaje JK hajaweza kuutambua?

Wanafunzi wa Mzumbe sio bora kabisa kuna vilaza wengi mno wanasoma under private sponsorship afadhani hata form four wa LOYOLA sec.Watu wanachanganya kati ya Mzumbe University na Mzumbe sec yenye wanafunzi bora.Vipi yule Makamu mkuu wa Chuo Mzumbe Utawala na fedha alikuwa na PhD feki na wanapeana PhD kama njugu

SUA inawatengeneza wao kuwa bora hata kama awali walikuwa wachovu ila kila mdogo aliyebright huwaza kusoma UDSM kivipi useme sio bora?
 
hebu nipeni mwongozo kwenye hii sredi wamepigana wangapi?:coffee:
 

Medusoid brain!
Umewahi kuona chuo kinachoongeza intelligence ya mtu? Huko Mzumbe na DIT wanafanya hayo?
 
Umeshawahi kusikia mgomo Mzumbe? Jiulize hao waalimu wanaofundisha Mzumbe wamepitia Chuo gani? Kuna wakati walishaanza uzabizabina wao Ma-Don wa UDSM wakaenda wakaangalia hicho wanachojidai nacho wakakuta wote ni ama waliowahi kuwa wanafunzi wao na Ma Tutorial Assistants wanafundisha darasani. Kilichafuatia nadhani mnakijua. Lakini tujiulize pia historia ya Mzumbe hiki Chuo kilikuwa maalum kwa watumishi wa Umma kwenda kujinoa ili wawe watiifu kwa serikali ndio maana kiliiitwa IDM-Mzumbe. Sasa msianze mambo ya ma-comparison kwa sababu tatizo sio UDSM ama Mzumbe tatizo ni mfumo kibaraka tulio nao. Hata hivyo hao MZUMBE FULANI NI BOGUS TU!
 
Ipo siku atasema tatizo la Kikwete ni dini yake au kabila lake, atatoa sababu ya kijinga kwamba dini au kabila lake ni watu wa aina fulani. Ogopeni watu wa namna hiyo wenye fikra mgando. Mlimani is the UNIVERSITY not college or institute. Mlimani haitoi technicians bali inatoa cordinators. Kumaliza chuo pekee huwezi kuitwa mtaalam. Ndio maana engineers wana program ya miaka 3 inayoratibiwa na Bodi ya maengineers ya kufanya kazi kwa vitendo ili uwe proffessional engineer, sawa sawa kwa fani nyingine. Acha fikra mgando. Huwezi kuzungumzia maenedeleo ya Tanzania bila kuzungumzia MLIMANI, wanasheria makini, engineers , wahasubu wengi wakongwe wote ni zao la UDSM.

Pia zungumzia Maendeleo ya Tanzania bila kuzungumzia vyuo kama MZUMBE, DIT nk maana wao ndio zao la technicians waliopo Tanzania. Kugeuza kuwa vyuo vikuu ni siasa tu lakini Mwalimu Nyerere alitaka kuwa na technicians wengi kuliko cordinator. Nchi bado inahitaji technicians wengi sana.

Cha kusikitisha ni kwamba hata wahitimu wake wa degree bado wamekaa kitechnician tu.

Kama ulifeli form six rudia tu
 
hili nalo neno,
mbaya wanafunzi wa mlimani wamejaa sifa tu za mimi ni mwanafuzi wa chuo kikuu pale mlimani hata wanaweza kuonesha dharau za wazi kwa wanafunzi wa vyuo vingine, nasema huu ni ujuha maana ni sawa na mtanzania aliyeko nchi za ulaya hujisifu kwa kuwa yuko huko japo ana maisha magumu na mbaya amekalia ulaya tittle ya umaarufu wa nchi
 
Thre Hii inaboa saana, you are absolutely not a deep thinker! so stereotypic! n you don't know what you are saying!!!!:A S 20:
 
I do not very often comment on issues that are raised in the forum. But on this I would rather ask the author to think in a logical way before writing anything. This type of people negate the cause that JF has set out to achieve through well researched exchanges and debates. In any case it takes a person with deep-seated resentments against an institution to say that its graduates are mediocre. I would suspect that the author is a product of either Mzumbe or DIT having previously missed the chance to join UDSM.
 

Kama wewe umesoma Chuo Kikuu kizuri, au ndo umesoma DIT au Mzumbe, na kama wewe umeelimika kuliko wa hitimu wa Mlimani, je, umefanya nini kuondoa tatizo hilo? Kama hujafanya chochote, basi, you are a good a nothing!

Generalization ni mbaya sana. Unataka kusema wahitimu wa Mlimani hawawezi kuwa ma Professor wa mlimani? Au na ma Professor ni bomu? Think thrice!
 

Mkuu pole sana na "sizitaki mbichi hizi" Wewe huna tofauti na kile kisa cha Sungura kudai ndizi hazitaki eti ni mbichi kumbe ndizi zimeiva kabisa sema tu hazifikii.... Wewe huna tofauti na Sungura huyu!!! Acha kihoro mkuu laumu ukilaza wako mwenyewe!!!!
 
Nyie endeleeni kupiga makelele tu na inferiority copmlex zenu, si tunapiga mzigo wamaana na makampuni yanatukubali mbaya,tunadeal na deliverance tu kasasa, Proud to be UDBS-UDSM Alumni! msinichoshe nipo kwajob sorry!
 
Kaka you are WRONG, huwezi fananisha wanafunzi wa UDSM na Mzumbe...
Kulinganisha anaweza,lakini kosa kubwa alilolifanya ni kugeneralise the subject matter!kila chuo huo kinatoa defective products and by products,hili ni jambo la kawaida hata katika viwanda vinavyozalisha bidhaa mbalimbali!!
 
Thre Hii inaboa saana, you are absolutely not a deep thinker! so stereotypic! n you don't know what you are saying!!!!:A S 20:

hakuna kinachobboa sema kwa ukiritimba wa akili zako na uroho wa kufikiri unatamani kila mtu awe anawaza uwazacho wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…