i never imagine still kuna watu wenye mtizamo mgando,ukilaza wa mtu katika utendaji hauhusiani na chuo alichosoma,wake up guys lets focus...
UDSM wamewahi kuvumbua nini?
wazungu wanasema "you are what you read"......yaani chuo ulichosoma kina affect saaaaaannnnaaaaa utendaji wako.....muone nanihii anavyofanya mambo yake.
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!
ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa chuo kikuu cha dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu mzumbe au dit ni bora kuliko mhitimu wa mlimani!! Poleni sana wahitimu wa mlimani!!
mi nipo UD sasa hivi, ngoja niingie kwenye pepa nika DESE, halafu nikitoka nasubiri BUMU....halafu shule ikiisha natafuta kazi...... ninasoma ile course ambayo kila mtu anaikimbilia bila kujua kama nchi inaihitaji, na bila kujua nikigraduate nitafanya nini.
wenzangu wananidanganya tu, kitu ambacho ni cha kawaida....nitaenda kutafuta dili la chapchap nitoke....halafu basi.....zaidi ya hapo nitakuwa natoa longolongo tu.....kiingereza chenyewe ndio hivyo tena.
Vyuo hivyo vina walimu waliosoma UD.
UDSM wamewahi kuvumbua nini?
simple logic: kama vyuo hivyo vina walimu waliotoka UD halafu vyuo bado havina ubora THEN mwenye tatizo ni hao walimu na watawala ambao wengi wao ni UD graduates.
Inamaanisha wameshindwa kuonyesha UBUNIFU wao.
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!