Tatizo siyo kuzaa kwa wingi, ila kuweza kuwahudumia unaowazaa

Tatizo siyo kuzaa kwa wingi, ila kuweza kuwahudumia unaowazaa

tawakkul

Member
Joined
Oct 12, 2022
Posts
90
Reaction score
71
Uwingi wa watu ukitumika vizuri ni mtaji tosha. Watu wakiwa wengi ni tija kwa nchi ikiwa watakuwa wazalishaji, walipa kodi na wenye uzalendo na nchi yao.

Hapa tatizo siyo kuwa na watu wengi au kuzaa sana. Tatizo wanaozaliwa wanaandaliwa vipi kukabiliana na changamoto za kimaisha?

Nchi ikiwa na watu wengi walioandaliwa vyema kukabiliana na changamoto za maisha, wakaandaliwa kujitegemea, wakaandaliwa kuwa wabunifu na wenye uzalendo na nchi yao obviously uwingi wao utakuwa una faida badala ya hasara.

TUSIOGOPE KUZAA KWA HOFU YA KUSHINDWA KUWAHUDUMIA, TUZAE ILA TUAKIKISHE TUNAWAANDAA VYEMA NA CHAMOTO YA MAISHA.
 
Uwingi wa watu ukitumika vizuri ni mtaji tosha. Watu wakiwa wengi ni tija kwa nchi ikiwa watakuwa wazalishaji, walipa kodi na wenye uzalendo na nchi yao.

Hapa tatizo siyo kuwa na watu wengi au kuzaa sana. Tatizo wanaozaliwa wanaandaliwa vipi kukabiliana na changamoto za kimaisha?

Nchi ikkiwa na watu wengi walioandaliwa vyema kukabiliana na changamoto za maisha, wakaandaliwa kujitegemea, wakaandaliwa kuwa wabunifu na wenye uzalendo na nchi yao obviously uwingi wao utakuwa una faida badala ya hasara.

TUSIOGOPE KUZAA KWA HOFU YA KUSHINDWA KUWAHUDUMIA, TUZAE ILA TUAKIKISHE TUNAWAANDAA VYEMA NA CHAMOTO YA MAISHA.
Unazaa mtoto anaenda Soma Dumu fagio.
 

Naogopa sana Wasukuma wanavyozalisha kwa wingi japo kabila la kisukuma wanajitahidi kuhifadhi chakula ila miaka inavyozidi kwenda itakua ni tatizo. Pia wasukuma kusomesha mtoto shule ni changamoto kubwa sana. Nimewachagua Wasukuma kwasababu ndio kabila wanaozaliana sana.​

 

Naogopa sana Wasukuma wanavyozalisha kwa wingi japo kabila la kisukuma wanajitahidi kuhifadhi chakula ila miaka inavyozidi kwenda itakua ni tatizo. Pia wasukuma kusomesha mtoto shule ni changamoto kubwa sana. Nimewachagua Wasukuma kwasababu ndio kabila wanaozaliana sana.​

Tatizo lao wanazaa sana lakini shule siyo kipaumbele.
 
Back
Top Bottom