KERO Tatizo sugu la umeme Kigamboni

KERO Tatizo sugu la umeme Kigamboni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kanyesha

New Member
Joined
Oct 8, 2017
Posts
1
Reaction score
1
Kumekuwa na Tatizo sugu la kukatika umeme Kigamboni. Nafikiri sekta binafsi inaweza kuliendesha vizuri na kwa uweledi Mzuri hili shirika kuliko hizi adha tunazozipata hivi sasa chini ya Serikali.
 
Kumekuwa na Tatizo sugu la kukatika umeme Kigamboni. Nafikiri sekta binafsi inaweza kuliendesha vizuri na kwa uweledi Mzuri hili shirika kuliko hizi adha tunazozipata hivi sasa chini ya Serikali.
Nashindwa elewa wanakigamboni nini wamekosa maana kuanzia barabara , kivuko na sasa umeme. Hivi nini tatizo ? Inasikitisha sana kukosa huduma hizi umeme, kivuko na barabara. Inaumiza sana.
 
Kumekuwa na Tatizo sugu la kukatika umeme Kigamboni. Nafikiri sekta binafsi inaweza kuliendesha vizuri na kwa uweledi Mzuri hili shirika kuliko hizi adha tunazozipata hivi sasa chini ya Serikali.
Tatizo la umeme tena wakati tunaambwa mama amefanya miujiza? Je hiyo miujiza haijafika Kigamboni mwanangu?
 
Vumilieni, mama anamalizia kufungua nchi ya Zanzibar 😂
 
Back
Top Bottom