Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
Wakuu ni hospitali gani ambayo wanaweza kunifanyia operation ndogo ili nitoe hizi herufi mbili (tatoo) mkononi mwangu ambazo nilijichorwa nikiwa mdogo. na ni shillingi ngapi?
Au kama kuna dawa yoyote yenye majibu ya chapu chapu ya kufutia makovu tafadhal nitajie.
Ahsanteni.
Au kama kuna dawa yoyote yenye majibu ya chapu chapu ya kufutia makovu tafadhal nitajie.
Ahsanteni.