[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MIONGONI MWA MALIMBUKENI TULIOJAALIWA TANZANIA NI HUYU KIBONGE
Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.Huyu konde boy alimkubali sana JPM kama watanzania wengi walivyomkubali hadi akaamua kuchora bonge la tatoo mguuni
Konde boy sio msaliti kama vijana wengi walianza kumnanga JPM alipofariki .
Hii picha alipiga juzi kwenye Tuzo za kilimanjaro, ambapo alichukia Tuzo tatu
USSR View attachment 2180391
Tajiri asiye na tabu sana mlete kwangu nimchape viboko [emoji6]Maskini mnatabu sana
USSR
Hata nawe pia ni limbukeni kwa wa-TZ wengine, sema tu siku zote nyani haoni kundule [emoji1]MIONGONI MWA MALIMBUKENI TULIOJAALIWA TANZANIA NI HUYU KIBONGE
Unamzidi nini we ng'ombe,?MIONGONI MWA MALIMBUKENI TULIOJAALIWA TANZANIA NI HUYU KIBONGE
NaamMIONGONI MWA MALIMBUKENI TULIOJAALIWA TANZANIA NI HUYU KIBONGE
Mkuu mbona haujamalizia hiyo sentesi yako? malizia MkuuUnachora mwanaume mwenzako kwenye mwili...
TULIZA KINYEO MBUZI WEWE, WEWE NDO MKEWE HUYO KIBONGE AU?? ACHA SHOBO FALA WWUnamzidi nini we ng'ombe,?
Umewahi kumlisha? Je, uliwahi kumwazima/saidia chochote.?
Fanya yako Duni wewe!!
HATA WEWE NI LIMBUKENI ANAONGELEWA MWANAMME MWENZIO UNAJIBU WEWE, UNAWASHWA?? 🤔🤔🤔Hata nawe pia ni limbukeni kwa wa-TZ wengine, sema tu siku zote nyani haoni kundule ,[emoji1]