Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aangaliwe viziri huyo haa nyengine kwenye tako?Unachora mwanaume mwenzako kwenye mwili...
Nzige Mkubwa wewe!TULIZA KINYEO MBUZI WEWE, WEWE NDO MKEWE HUYO KIBONGE AU?? ACHA SHOBO FALA WW
"Wewe unawashwa?" Mwisho wa kunukuu [emoji1787]HATA WEWE NI LIMBUKENI ANAONGELEWA MWANAMME MWENZIO UNAJIBU WEWE, UNAWASHWA?? [emoji848][emoji848][emoji848]
Kuna siku nilimsikia mama akimsifia kifua chake.Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.
Nadhani utakuwa umeelewa ni kwa nini kachora hiyo tatoo, kwa mama huyo hana chake.
Imeisha hiyo.
Wacha wee, kwahiyo hata Nyerere alikuwa si lolote?Magufuli the best president we have ever had!
Huyu konde boy alimkubali sana JPM kama watanzania wengi walivyomkubali hadi akaamua kuchora bonge la tatoo mguuni
Konde boy sio msaliti kama vijana wengi walianza kumnanga JPM alipofariki .
Hii picha alipiga juzi kwenye Tuzo za kilimanjaro, ambapo alichukia Tuzo tatu
USSR View attachment 2180391
😂😂😂MIONGONI MWA MALIMBUKENI TULIOJAALIWA TANZANIA NI HUYU KIBONGE
Ila wewe umechora stars kiunoni unampongeza mwenzako amemchora jiweSafi sana
Sana, naamini Hakuna masikini mwenye akili.Maskini mnatabu sana
USSR
Mrisho Mpoto yy ni rasmi kila tukio anazitafuna mpaka anacheuwa.Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.
Nadhani utakuwa umeelewa ni kwa nini kachora hiyo tatoo, kwa mama huyo hana chake.
Imeisha hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nilimsikia mama akimsifia kifua chake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alinyanyaswa na Diamond akasaidiwa na JPM kutoka kwenye hicho ki lebo uchwara
Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.
Nadhani utakuwa umeelewa ni kwa nini kachora hiyo tatoo, kwa mama huyo hana chake.
Imeisha hiyo.
😂😂😂😂😂😂MIONGONI MWA MALIMBUKENI TULIOJAALIWA TANZANIA NI HUYU KIBONGE