Tattoo ya Hayati Magufuli kwenye mguu wa Harmonize

Tattoo ya Hayati Magufuli kwenye mguu wa Harmonize

Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.

Nadhani utakuwa umeelewa ni kwa nini kachora hiyo tatoo, kwa mama huyo hana chake.

Imeisha hiyo.
Kuna siku nilimsikia mama akimsifia kifua chake.
 
Huyu konde boy alimkubali sana JPM kama watanzania wengi walivyomkubali hadi akaamua kuchora bonge la tatoo mguuni

Konde boy sio msaliti kama vijana wengi walianza kumnanga JPM alipofariki .

Hii picha alipiga juzi kwenye Tuzo za kilimanjaro, ambapo alichukia Tuzo tatu

USSR View attachment 2180391

Nani alidizaini hizi tuzo!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cha kuogopesha na kusikitisha ni jamaa ana wafuasi na mashabiki wa kutosha. Word to mama for my sanity. Haya ndio madhara ya kulisha watoto ambao hawajafika hata miezi 6 miugali badala ya kuwanyonyesha tu.
 
Hizo tuzo mbona kama sanamu za kuchonga za kimakonde zile😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.

Nadhani utakuwa umeelewa ni kwa nini kachora hiyo tatoo, kwa mama huyo hana chake.

Imeisha hiyo.
Mrisho Mpoto yy ni rasmi kila tukio anazitafuna mpaka anacheuwa.
 
Pesa za Kikwete alikula Marlow, pesa za Magufuli kala huyu mmakonde, sasa ni awwmu ya mama wanakula kina shoro mwamba na wengine zamu yake imepita.

Nadhani utakuwa umeelewa ni kwa nini kachora hiyo tatoo, kwa mama huyo hana chake.

Imeisha hiyo.

Wewe nae unachanganya madesa sana sasa hoja kama kula hela za Magufuli kuna watu wamekula hela kama kina Christian Bela,Mpoto na Banana Zoro? Na bado wanaendelea kula hela hadi sasa kwa Samia
 
Back
Top Bottom