fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,672
List ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mchezaji bora Europe imetolewa leo huku Messi alieshinda tuzo hiyo mwaka jana akiachwa.
Ronaldo,Bale,Griezman ndio wanaowania tuzo hiyo.
Ronaldo anaonekana kuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kushinda tuzo hiyo.
Ronaldo,Bale,Griezman ndio wanaowania tuzo hiyo.
Ronaldo anaonekana kuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kushinda tuzo hiyo.