Tausi aelezea jinsi anavyopata shida kulala kitandani

Tausi aelezea jinsi anavyopata shida kulala kitandani

Bas
Bro hii ni 2025 na heshima kitu Cha bure ,nishaomba msamaha hapo juu kwa waafrica wote na watanzania pamoja na watu wa ulimwengu wa kwanza kwa yote yaliyopita ,Sasa na wewe kirudisha mambo ya nyuma unataka nini ?

Bro hii ni 2025 na heshima kitu Cha bure ,nishaomba msamaha hapo juu kwa waafrica wote na watanzania pamoja na watu wa ulimwengu wa kwanza kwa yote yaliyopita ,Sasa na wewe kirudisha mambo ya nyuma unataka nini ? 😠
Basi ndugu yangu yameisha
 
Amenikumbusha mbali sana.....😂
Niliwahi kuwa na mpenzi kama huyu miaka ileeee kabla sijakutana na yule albino...😑
Weee class mate bhana, yaani wewe ni mtu wa vitu unique. Hongera lakini.
 
Nimesoma nae primarily school uyu dogo ana pacha wake oya wakorofi walikua hatari
Basi kumbe wewe mdogo sana aisee,pacha wake ana urafiki na mwanangu na alikuwa akijaga Dar anafikiaga kwangu..Wamesoma Pamoja Secondary huko Iringa,mwanangu amemaliza Advance 2018 amezaliwa 1997..ni age moja na pacha wake Tausi so unaweza kuwa wa 1997 or 1998 wewe
 
Dar es Salaam. Msanii wa filamu na mfanyabiashara Tausi Mdegela anasema kutokana na kimo chake kifupi, kuna baadhi ya watu katika jamii na mitandao wanaona hastahili kufanya baadhi ya vitu.

Hayo ameyasema wakati akifanya mahojiano na Mwananchi na kuongezea kuwa kwa sasa amezoea kudhihakiwa.

“Nikitaka kufungua mlango ndio nakumbuka mimi ni mfupi, naanza kumuita dada yangu wa kazi anifungulie, nje na hapo sijiwazii kimo changu, napenda kufanya kazi kwa bidii na siangalii uigizaji pekee,” anasema.

Anasema licha ya kumiliki kitanda kikubwa analazimika kulala chini kwa ajili ya kuepukana na hekaheka za kupanda kitandani.

“Nina kitanda kikubwa lakini godoro naweka chini kwa sababu siwezi purukushani za kupanda na kushuka, lengo langu la kukinunua ni kumfanya binti yangu azoee mazingira hayo ili akienda kwa watu asione vitu vigeni.

“Ukiachana na kitanda ndani kwangu hakuna viti vya kukalia, nimeweka zuria na mito kwani siwezi kujitesa kupanda juu, nimeamua kujikubali nilivyo, nitaishi maisha ya furaha na siyo kufurahisha watu, pia nikitaka kushona nguo nakata mita mbili,"anasema

Hataki unyonge kwa binti yake

Tausi amejaaliwa kupata mtoto wa kike jina lake Pavitrah, anasema kipindi cha nyuma alipokuwa akienda kucheza na wenzake walikuwa wanamtania na kumwambia mama yake ana mwili mdogo na mfupi, jambo ambalo lilikuwa linamuumiza.

“Pavitrah mwanzoni alikuwa anakuja kusemelea anavyotaniwa na wenzake ananiambia mama wanasema wewe una kamwili kadogo na mfupi, nikawa namwambia mwanangu ni kweli mimi ni mfupi, ila nakupenda sana wakikwambia tena wajibu ndiyo mama yangu mfupi ila ni staa kuliko mama zenu.

“Siku moja akaenda kucheza wakaanza kumtania akawajibu kama nilivyomwambia, akarudi akanimbia mama nimewaambia kama ulivyonifundisha hawajarudia kunitania tena,"anasema

Changamoto za huduma za kijamii

Anasema kuna wakati akienda kupata huduma za kijamii sehemu zenye majengo ya ghorofa kwake inakuwa changamoto, kwani anaona kuna umbali mrefu kupanda ngazi.

“Hata kama kuna lifti lazima niwe na mtu ambaye anaweza akanisaidia kubonyeza zile namba za lifti kwani siwezi kufikia zilipo.Changamoto nyingine ninayoipata nikitaka kutoa pesa ATM sifikii kwenye mashine ile, hivyo nakuwa namuomba bodoboda wangu ama dereva bajaji anayeniendesha.

View attachment 3204435View attachment 3204436
Cephalo Pelvic Disproportion (CPD)
 
Nisamehewe na dunia na watanzania wote ukweli ni kuwa nimewahi kumhusdu huyu dada na nikapata namba yake nikamtongoza akanikataa.

Nasema nisamehewe kwasababu nilikuja kujua yupo kwenye mapenzi na kitoto tulichokilea sisi wandewa ,hivyo naomba msamaha kwa Africa, Tanzania na watu wa dunia ya ulimwengu wa kwanza kwa kumtongoza demu wa mtoto wangu.
Nipe muda nikufikirie kama nitakusamehe au la.
 
Nisamehewe na dunia na watanzania wote ukweli ni kuwa nimewahi kumhusdu huyu dada na nikapata namba yake nikamtongoza akanikataa.

Nasema nisamehewe kwasababu nilikuja kujua yupo kwenye mapenzi na kitoto tulichokilea sisi wandewa ,hivyo naomba msamaha kwa Africa, Tanzania na watu wa dunia ya ulimwengu wa kwanza kwa kumtongoza demu wa mtoto wangu.
"Enenda Kwa Amani,,Umesamehewa Dhambi Zako"
 
Nisamehewe na dunia na watanzania wote ukweli ni kuwa nimewahi kumhusdu huyu dada na nikapata namba yake nikamtongoza akanikataa.

Nasema nisamehewe kwasababu nilikuja kujua yupo kwenye mapenzi na kitoto tulichokilea sisi wandewa ,hivyo naomba msamaha kwa Africa, Tanzania na watu wa dunia ya ulimwengu wa kwanza kwa kumtongoza demu wa mtoto wangu.
Hakika ufalme wako umepimwa kwa mizani
 
Bongo kuna wasanii
Kila mtu msanii

Ova
 
Kuna siku nimekaona kanatoka kupigwa pumbu lodge flani hapo mbezi ya magufuli.
 
Back
Top Bottom