Taveta locals access homes via Tanzania

laakini kuna story zina dai ya kuwa Kenya walisaidia kumis direct ile ndege ya mshenzi gadafi ikaanguka ... sijui kama ulishawahi kusikia hili ?
Waongo hao, vipi waendelee kumsaidia Amin kupitisha silaha, kipi kina athari kubwa katika vita?, kumpa adui yako silaha tena za kisasa na nyingi, na kumis direct ndege moja tu, hao jamaa sio ndugu zetu, hao ni majirani zetu, na ingewezekana kuhama, basi tungeibeba Tanzania tukahamia katika ya Zimbabwe na Angola, tukawakimbia hawa jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahah hapana bwana ktk swala la silaha Libya ndio walikuwa wana msupport Amin dada ..sijui lkn the other side of coin ... kama ni kweli bas hawa Kenyan sio kabisaaa
 
hahahah hapana bwana ktk swala la silaha Libya ndio walikuwa wana msupport Amin dada ..sijui lkn the other side of coin ... kama ni kweli bas hawa Kenyan sio kabisaaa
Vifaru, magari ya kivita na mizinga ni lazima ije kwa njia ya bahari, haviwezi kupitia angani, Uganda hutumia bandari ya Dar na Mombasa tu, kama sisi tulikua vitani na Amin, je silaha alizopewa na Gaddafi zilifikaje Uganda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zilikuwa zina shukia Sudani japo sina uhakika ngoja nitajifunza hapo ktk ilo
 
Load of bull pie, FACT!! the road is well paved from Mombasa to voi mwatate and onwards to taveta holili border. Completed less than a yr ago..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…