Tawala za kifalme zilikuwa bora kuliko za kidemokrasia

Tawala za kifalme zilikuwa bora kuliko za kidemokrasia

Hakujawahi kuwa na Demokrasia ya Kweli since begging of time....

Kitu kimoja kizuri kuhusu huu Usanii ni kuwaaminisha Wananchi kwamba wao ndio wanaongoza hivyo kuridhika..., ila in reality nothing further from the truth....

Its not Power to the People bali Power to the Selected Few.... since its inception...
Mara nyingi wenye nguvu wamewatawala wengi kwa kuwadanganya-danganya. Wafalme walisema wao wanamandate ya Mungu. Wacommunist/wajamaa walijitia wanafanya kwa manufaa ya watu wote. Demokrasia ndiyo uongo kabisa, eti kila mtu ana mamlaka!
 
Hakujawahi kuwa na Demokrasia ya Kweli since begging of time....

Kitu kimoja kizuri kuhusu huu Usanii ni kuwaaminisha Wananchi kwamba wao ndio wanaongoza hivyo kuridhika..., ila in reality nothing further from the truth....

Its not Power to the People bali Power to the Selected Few.... since its inception...
All political parties are the same And they play the same ball

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Saudia Arabia inaongozwa kidemokrasia,kifalme au kiislam?
 
Mara nyingi wenye nguvu wamewatawala wengi kwa kuwadanganya-danganya. Wafalme walisema wao wanamandate ya Mungu. Wacommunist/wajamaa walijitia wanafanya kwa manufaa ya watu wote. Demokrasia ndiyo uongo kabisa, eti kila mtu ana mamlaka!
Uongo wa demokrasia ni upi?

Ulisikia wapi kwenye demokrasia ikisemwa kila mtu ana mamlaka?
 
Kuna Wafalme wengine afadhali ya wanyama
Ukiangalia historia kila mmoja aliendesha nchi yake kwa njia yake
Wapo wazuri na wapo wabaya sana na wakatili kuwahi kutokea duniani

Sio Africa tu kama kina Bokassa hapana hata wazungu walikuwepo wafalme wabaya sana na wauwaji

Kweli bado hatujajua namna ya kumuongoza binadamu
 
Hata fashisti anaweza chaguliwa na wengi. Wanamaanisha wananchi ndiyo wenye sauti na mamlaka ya jinsi nchi iende.
Kama fashisti atachaguliwa na wengi wa raia hiyo nayo ndiyo serikali ya watu kwa ajili watu hao. Hao watu watakuwa mafashisti na wamechagua Fashisti mwenzao, ni gharama mojawapo ya demokrasia.

Wananchi walio wengi hawawezi kuwa na sauti au mamlaka ya kuamua jinsi nchi iende kama hawajaichagua serikali kwa wingi wao.
 
Ufalme wa kumuweka mtoto wa dada kama mlipaji mkuu wa serikali ndio nzuri?
 
Back
Top Bottom