TAWLA yapendekeza Ubakaji utambulike kuwa Kosa la Jinai kwa Wanandoa

TAWLA yapendekeza Ubakaji utambulike kuwa Kosa la Jinai kwa Wanandoa

Lakin kwani kuna sehem wanawake wamelalamika ?
 
Ila we mdada uko na matatizo kichwani,unapenda sana ugomvi. Vitu vidogo vya kuvipotezea huwa huwezi kabisa.
Akiishi na mwanaume atatuliatu tatizo kama ameolewa anaishi na mvulana.

Akikutana na mnyambisi atakua balozi wa kuwatuliza hao TAWLA na wapambe wao
 
Hawa TAWLA ni mawakala wa shetani wanaosambaratisha taasisi takatifu ya ndoa. Hii sheria ikipita ndoa nyingi zitavunjika na baadhi ya wanaume kwenda jela. Mimi nadhani itachochea zaidi vijana kukata ndoa na kuongezeka kwa single maza. Sheria itawadhuru zaidi wanawake.
Mwanamke akiepo kwenye ndoa hawezi shabikia huo urojo

Hao wanawake nimawakala wakupinga ndoa. HAO HAWANA NDOA

KWANI WANAUME WAO HAKUNA WANAOBAKWA? IKITOKEA MWANAUME AKALALAMIKA KAMA ANALAZIMISHWA KUMUINGILIA MKEWE HAO TAWLA WANASEMAJE?
 
Kwenye ndoa haitakiwi kunyimana hata kama umegombanaa .... kwa kwauli ya TAWLA --- kataa ndoa itaongezekaa
 
Wanawake mtatuua !, Jana Mzee kaachana na mke we kwakua kwa miaka 7 Katika ndoa ; hakuahi kumujua kiunyumba mkewe ......
Kisha Bado wanasheria mnazidi kutunga Sheria ya kuhangamiza ndoa zawatu !!!..... Haki duniani ni hafif Sana kweli na unaegamia upande mmoja !!!.
 
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na Wanaharakati wa Masuala ya Kijinsia kimependekeza Marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20 ili iweze kumwajibisha Mwanandoa atakayemuingilia Mwenza wake bila ridhaa.

#TAWLA imesema pendekezo hilo linafuatia ongezeko la kesi zenye Sura tofauti za Ukatili zikiwemo zinazohusiana na malalamiko ya Wanawake kulazimishwa kufanya Tendo la Ndoa pamoja na Kuingiliwa Kinyume na Maumbile.

Hadi sasa Sheria inatamka kwamba ni Kosa la Jinai kumlazimisha Mwanamke kufanya Tendo la Ndoa Bila Idhini Yake ambapo Wanaharakati hao wameshauri Kitendo cha Mume Kumbaka Mkewe Kitajwe na kitambuliwe kama Kosa la Jinai kwenye Sheria.

==============

Mjadala wa mume kumbaka mkewe jana ulikuwa ni miongoni mwa hoja za wanaharakati wa masuala ya kijinsia baada ya kushauri marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, sura ya 20 ili kumuwajibisha mume.

Sheria hiyo kwa sasa inatamka kwamba ni kosa la jinai kumlazimisha mwanamke kufanya tendo la ndoa bila idhini yake.

Hata hivyo, wanaharakati hao wameshauri pia kitendo cha mume kumbaka mkewe kitambuliwe kama kosa la jinai katika sheria hiyo kutokana na changamoto ya kukithiri matukio hayo kwenye ndoa.

Mjadala wa mume kumbaka mkewe jana ulikuwa ni miongoni mwa hoja za wanaharakati wa masuala ya kijinsia baada ya kushauri marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, sura ya 20 ili kumuwajibisha mume.

Sheria hiyo kwa sasa inatamka kwamba ni kosa la jinai kumlazimisha mwanamke kufanya tendo la ndoa bila idhini yake.

Hata hivyo, wanaharakati hao wameshauri pia kitendo cha mume kumbaka mkewe kitambuliwe kama kosa la jinai katika sheria hiyo kutokana na changamoto ya kukithiri matukio hayo kwenye ndoa.

MWANANCHI
This is nonsense.Wanataka watu control hata kwenye nyumba zetu!? Kwanza Mungu ameagiza kwamba tusinyimane,so mwanamke kumnyima mumewe is going against Gods' directives.It's stupidity kufikiria kwamba a sane man can force her wife into sex kama kuna genuine reasons to the contrary.To me the very idea kwamba mwanamme anaweza kumbaka mkewe is demonic.

Infact kama jamii yetu ingekuwa sane,tunge tunga Sheria kwamba mwanamke yeyote anayemnyima mumuwe without genuine reasons awe brought to book,kwa kuwa anaweza kumfanya mwanaume aingie kwenye improper relationships na hivyo kuiletea familia matatizo.
 
Screenshot_20230223-194830_Chrome.jpg
 
Kimsingi kuna kubwa nyuma ya pazia na inatia hasira sana ila sema tatizo ni sisi wenyewe kama tungeamua kuachana nao tusijishughulishe nao, tusihangaike na mahari wala kuwajua kwa namna yoyote ile...ni miaka miwili au miezi kadhaa wangeanza wenyewe kujitafuta.
 
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na Wanaharakati wa Masuala ya Kijinsia kimependekeza Marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20 ili iweze kumwajibisha Mwanandoa atakayemuingilia Mwenza wake bila ridhaa.

#TAWLA imesema pendekezo hilo linafuatia ongezeko la kesi zenye Sura tofauti za Ukatili zikiwemo zinazohusiana na malalamiko ya Wanawake kulazimishwa kufanya Tendo la Ndoa pamoja na Kuingiliwa Kinyume na Maumbile.

Hadi sasa Sheria inatamka kwamba ni Kosa la Jinai kumlazimisha Mwanamke kufanya Tendo la Ndoa Bila Idhini Yake ambapo Wanaharakati hao wameshauri Kitendo cha Mume Kumbaka Mkewe Kitajwe na kitambuliwe kama Kosa la Jinai kwenye Sheria.

==============

Mjadala wa mume kumbaka mkewe jana ulikuwa ni miongoni mwa hoja za wanaharakati wa masuala ya kijinsia baada ya kushauri marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, sura ya 20 ili kumuwajibisha mume.

Sheria hiyo kwa sasa inatamka kwamba ni kosa la jinai kumlazimisha mwanamke kufanya tendo la ndoa bila idhini yake.

Hata hivyo, wanaharakati hao wameshauri pia kitendo cha mume kumbaka mkewe kitambuliwe kama kosa la jinai katika sheria hiyo kutokana na changamoto ya kukithiri matukio hayo kwenye ndoa.

Mjadala wa mume kumbaka mkewe jana ulikuwa ni miongoni mwa hoja za wanaharakati wa masuala ya kijinsia baada ya kushauri marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, sura ya 20 ili kumuwajibisha mume.

Sheria hiyo kwa sasa inatamka kwamba ni kosa la jinai kumlazimisha mwanamke kufanya tendo la ndoa bila idhini yake.

Hata hivyo, wanaharakati hao wameshauri pia kitendo cha mume kumbaka mkewe kitambuliwe kama kosa la jinai katika sheria hiyo kutokana na changamoto ya kukithiri matukio hayo kwenye ndoa.

MWANANCHI
Huu ni upumbavu wa hali ya juu. Ni kuleta usumbufu kwa wanandoa. Impact yake utakuja kutesa watoto. Kwa nchi za Africa
 
Kuna vyama vinapromote ushoga na usagaji hapa nchini cha kushangaza viongozi wa dini wamekaa kimya! Wanashindwa nini kutoa tafsiri ya ndoa ili kukomesha kampeni kama hizi ambazo zitapelekea wanaume na wanawake kuoana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu muungano huo hautambuliki kisheria na kwa sababu hiyo huwezi kuuwekea udhibiti?! Nchi zote zenye sheria ngumua za ndoa kati ya mke na mume zina idadi kubwa ya mashoga na wasagaji.
 
Wengi wanahamasisha watu wasiowe, ni wanaotoka kwenye familia ya mapenzi wa jinsia moja, yaani mashoga.

Mashoga ilimradi wao wamezaliwa, wala hawajali juu ya ongezeko na ustawi wa kizazi kijacho.
 
Back
Top Bottom