Jamani ninaomba kuwasilisha mawazo ya wengi kwenu wana jamii, hivi inakuwaje watu wanaofanya kazi na mashirika ya umoja wa mataifa wanakataliwa kukununua kitu (gari) na kukiingiza nchini bila kulipia ushuru, wakati wafanyakazi wa serikali (Madaktari,Wanajeshi,Walimu n.k) wanapewa kipaumbele kwenye hilo.
Kilichonipelekea kuulizia hili ni kwamba kila mtumshi wa umoja wa mataifa anakatwa kwenye mshahara wake kiwango fulani cha pesa kikiwa ni sehemu ya pesa zinazoongezwa kwenye serikali ya Tanzania kuchangia kwenye umoja huo, cha kushangaza ukitaka kuingiza kitu (gari) ulichonunua ukiwa kwenye kazi hizi za umoja wa mataifa unaelekezwa inakubidi uwe umekinunua na kukitumia kitu hicho kwa muda wa mwaka mmoja, sasa kama upo sehemu ambapo kuna mapigano yanaendelea utawezaje kutumia kitu hicho (gari), kama jinsi hali ilivyo basi watumishi wengi wa mashirika haya hawatendewi haki na serikali yetu, nitafurahi kama kuna mtu wa serikali atakayeweza kulitolea ufumbuzi suala hili ambalo lina tuumiza kichwa watu wengi.
Kilichonipelekea kuulizia hili ni kwamba kila mtumshi wa umoja wa mataifa anakatwa kwenye mshahara wake kiwango fulani cha pesa kikiwa ni sehemu ya pesa zinazoongezwa kwenye serikali ya Tanzania kuchangia kwenye umoja huo, cha kushangaza ukitaka kuingiza kitu (gari) ulichonunua ukiwa kwenye kazi hizi za umoja wa mataifa unaelekezwa inakubidi uwe umekinunua na kukitumia kitu hicho kwa muda wa mwaka mmoja, sasa kama upo sehemu ambapo kuna mapigano yanaendelea utawezaje kutumia kitu hicho (gari), kama jinsi hali ilivyo basi watumishi wengi wa mashirika haya hawatendewi haki na serikali yetu, nitafurahi kama kuna mtu wa serikali atakayeweza kulitolea ufumbuzi suala hili ambalo lina tuumiza kichwa watu wengi.