Mtu wa Kigamboni
Member
- Jul 24, 2015
- 80
- 38
Jamani naomba msaada ninapangisha kwa mkataba wa 5 years lakini makubaliano ni kama ifuatavyo (1) Kodi ya pango kwa mwaka ni 12. Million. (2) Mpangaji atafanya ukarabati utakao gharimu TShs 30 Million na kumlipa mkandarasi mojakwamoja hizo pesa ni nusu ya kodi yote ya pango kwa miaka mitano, hivyo mimi atakuwa akinilipa TShs 6 Million kila mwaka.
Na TShs 6 Million inayobaki inafidia gharama za ukarabati kwa miaka yote mitano. Naomba msaada nijuwe kodi (tax) ambavyo natakiwa kulipa TRA kwa ajili ya rental Income ni kiasi gani?
Na TShs 6 Million inayobaki inafidia gharama za ukarabati kwa miaka yote mitano. Naomba msaada nijuwe kodi (tax) ambavyo natakiwa kulipa TRA kwa ajili ya rental Income ni kiasi gani?