Mtu wa Kigamboni
Member
- Jul 24, 2015
- 80
- 38
Hapo inatategemea makubaliano yenu wewe na mpangaji,Kwanza kama atakuwa analipa Withholing tax kabla ya Kodi au baada ya kodi ila kwa Mujibu wako ni hivi
Mkataba ni miaka mitano kwa TZS 12M kwa mwaka hapo inatakiwa ukatwe asilimia 10 ambayo ni TZS 1,200,000 kwa mwaka na kwa miaka mitano hiyo utalipa kwa TRA TZS 6M.
Ila unaweza kubaliana na mpangaji hii gharama atailipa yeye conditions unaweka Withoholding tax italipwa na mpangaji mwenyewe yeye akulitee Risiti ya TRA tu.
Na mimi naona hiyo TShs 30 Million ni Capital expenditure sitakiwi kulipia kodi. Wataalamu mnasemaje?