Taxes collected by KRA in 2020 can finance Tanzania budget and still remain with some change

Taxes collected by KRA in 2020 can finance Tanzania budget and still remain with some change

Na bado hiyo budget ya Tanzania ni zaidi ya annual revenue collection! Vyanzo vya kutega uchumi wa taifa havitoshi kugharamia mahitaji ya Tanzania!, na vile wako wengi na nchi kubwa!! Yaani lazima wakope ili kuigharamia budget! Nchi fukara kweli., kelele mingi ndio wako nayo tu.
Kukopa ni njia ya kuleta ukwasi kwenye uchumi,hatukopi kugharamia recurrent expenditure bali miradi ya maendeleo.Na in fact tunakopa kidogo sana kuliko ilivyostahili na mbaya zaidi tunakopa kwenye soko la ndani.

Nilimsikia Finance Minister akisema seems Nchi haiaminiki kukopa kwenye masoko ya Kimataifa kutokana na poor rating na bado inatazamwa kama nchi maskini isiyojiweza,kwa hiyo they are working to iprove credit rating ili wakope kwenye masoko ya mitaji ya kimataifa na kuacha space ndani kwa ajili ya private sector.
 
Lakini mama naona akiweka mambo sawa, especially kwa wana biashara na wawekezaji.., ameanza vizuri, ila sijui kama ako na support from CCM..,
Support iko so long as atawahakikishia vyeo vya siasa ,na hapo lazima awabane wapinzani na apige chini mambo ya Katiba mpya maana hiyo Katiba wanayodai wapinzani itapunguza au kufuta vyeo vya siasa vya maccm.

As for me sina shida na mambo yao ya politics watajuana wenyewe ila tuu achuke mkondo wa soko huria kwenyeuchumi.Nchi nyingi za Africa ziko autocratic lakini sera zao za uchumi ni friendly.
 
Total taxes collected by KRA are $16B while Tanzanian total budget for 2021/2022 is $14B. This means that KRA can finance Tanzanian budget na wabaki na change ya $2B

KRA surpasses 2020/21 revenue target

This is the first time since financial year 2013/14

In Summary
•The 2020/2021 revenue target as reflected in the 2021 Budget Policy Statement was Sh1.652 trillion, which KRA surpassed with a surplus of Sh16.81 billion.
•This represents a performance rate of 101 per cent and revenue growth of 3.9 per cent compared to the previous financial year.

05 July 2021 - 04:00

The KRA headquarters at the Times Tower
The KRA headquarters at the Times Tower

Kenya Revenue Authority (KRA) has beaten its revenue target after an eight year struggle to meet its obligation in supporting the government's annual spendings.

The taxman has defined challenges brought about by the Covid-19 pandemic to surpass its target, since the financial year 2013/14.

Revenue collection in the financial year 2020/21, which ended on June 30, reached a new record of Sh1.669 trillion compared to Sh1.607 trillion collected in financial year 2019/20. This is both tax and non-tax revenue.

The 2020/2021 revenue target as reflected in the 2021 Budget Policy Statement was Sh1.652 trillion, which KRA surpassed with a surplus of Sh16.81 billion.

This represents a performance rate of 101 per cent and revenue growth of 3.9 per cent compared to the previous financial year.
It is consistent with the prevailing economic indicators, especially the projected GDP growth of 0.6 per cent in 2020, commissioner general Githii Mburu notes.

Revenue collection has more than doubled in the last 10 years from Sh707 billion in 2011/12 , representing a growth of 136 per cent.

In the period under review, the exchequer revenue grew by 2.3 per cent with a collection of Sh 1.544 trillion compared to Sh1.510 trillion collected in financial year 2019/20, and represents a performance rate of 100.9 per cent against the target of Sh1.530 trillion.

This is before accounting for Sh18.5 billion that the National Treasury has undertaken to pay on behalf of taxpayers for various reasons including economic hardship during the pandemic.

The Domestic Taxes Department (DTD) collected Sh1.039 trillion during the financial year translating to a performance rate of 99.8 per cent while Customs and Border Control collected Sh624.77 billion, surpassing its target of Sh606 billion.

Petroleum taxes amounted to Sh226.680 billion posting a growth of 34.5 per cent and a surplus of Sh12.252 billion.

Non-oil revenue recorded a growth of 16.4 per cent with collections amounting to Sh398.1 billion which was above target by Sh5.9 billion.

Corporation tax recorded a growth of 3.7 per cent in financial year 2020/21 despite a tough business environment, where the tax rate was reduced from 30 per cent to 25 per cent in the first half of the financial year.

"This performance was driven by increased remittance from energy, agriculture and construction sectors with a growth of 222.7 per cent , 33.1 per cent and 31.9 per cent respectively," Githii said in a statement.

Pay As You Earn however declined by 9.3 per cent, pegged on a reduction in the employment rate emanating from measures taken by mainly private firms to reduce operating costs as a result of the Covid-19 pandemic.

According to the taxman, the tax head was also affected by the reduction of the top PAYE rate from 30 per cent to 25 per cent and a 100 per cent tax relief for persons earning below Sh 24, 000 per month.

Withholding tax recorded a growth of 3.8 per cent which is a drop from an average growth of 18.2 per cent recorded the previous year.

"The performance was negatively impacted by depressed economic growth due to the impact of the Covid-19 pandemic," Githii said.

Domestic excise tax recorded a growth of 12 per cent compared to a decline of 6.4 per cent recorded in the last financial year.

The performance turnaround is attributed to the gradual reopening of the economy and extended operating hours for bars and restaurants.

Domestic VAT however recorded a decline of 7.9 per cent, primarily on effects of Covid-19 which saw business turnovers decline. The decline was also affected by the reduction of the VAT rate from 16 per cent to 14 per cent.

During the period under review, KRA implemented a number of Revenue Enhancement Initiatives that enabled the Authority to enhance revenue collection.

This was largely driven by enhanced compliance enforcement efforts and the implementation of new tax measures focused on ensuring that that non-compliant taxpayers pay their tax due.

The good performance is also attributed to Tax Base Expansion (TBE) which was a key deliverable in the authority's 7th Corporate Plan.

Through this initiative, KRA recruited more taxpayers through the newly implemented taxes including Digital Services Tax, Minimum Tax, and Voluntary Tax Disclosure among others.

Over the 7th Corporate Plan period, active taxpayers increased from 3.94 million to 6.1 million.

The introduction of Alternative Dispute Resolution (ADR) also saw taxpayers come forward to find an amicable solutions in disputes with KRA, Githii notes.

With the main objective being to ensure, faster, objective and efficient resolution of tax disputes, ADR enabled KRA to unlock Sh31.435 billion in taxes out of 552 cases resolved during the FY 2020/2021.

The enhanced recovery of tax arrears saw KRA mobilise Sh93.7 billion in the 2020/2021 compared to Sh84. 7 billion collected in financial year 2019/2020.

National Treasury has set the 2021/22 revenue target at Sh1.78 trillion, hoping the economy will rebound, projected at 6.3 per cent and 6.1 per cent in the medium.

Total revenue including A-I-A and grants is projected at Sh2.1 trillion, equivalent to 17.0 per cent of GDP.

The deficit in the Sh3.6 trillion will be funded through borrowing, both internally and externally, even as Treasury mulls reducing the fiscal deficit.

To meet its target, KRA is expected to collect Sh835 billion as income tax, which accounts for approximately 50 per cent of tax revenue, projected to increase by Sh102 billion.

The Authorities 8th Corporate Plan targets to collect Sh 6.831 trillion by the end of financial year 2023/2024.

Ni jambo jema. Lkn pia itapendeza kama hayo makusanyo yatawagusa wananchi kama hawa hapo chini.
👇🏽👇🏽👇🏽
IMG_2414.jpg
 
Support iko so long as atawahakikishia vyeo vya siasa ,na hapo lazima awabane wapinzani na apige chini mambo ya Katiba mpya maana hiyo Katiba wanayodai wapinzani itapunguza au kufuta vyeo vya siasa vya maccm.

As for me sina shida na mambo yao ya politics watajuana wenyewe ila tuu achuke mkondo wa soko huria kwenyeuchumi.Nchi nyingi za Africa ziko autocratic lakini sera zao za uchumi ni friendly.
It is possible, she is so liberal, nikama sio Tanzania ninayo ifahamu! Wanabiashara wame mu rate highly, wakiongozwa na Aliko Dangote wa Nigeria, which is a good thing kwa uchumi wa taifa, private sector kwa sasa ndio mkombozi wa uchumi, serikali na wanasiasa sio wakuaminika. They need a compliment.
 
Kuna jamaa alifanya analysis anasema bajeti ya maendeleo ya kenya na ile ya Tanzania vinalingana. Kwa hiyo kenya ni kweli kabisa ana uchumi mkubwa kushinda Tz. Lakini mnalipa pesa nyingi kuservice mikopo ya madeni .kanusha hii point. ukweli kwa takwimu za bajeti za nchi mbili majirani wa damu waliogeuka watani wa jadi kama simba na yanga. NASUBIRI KANUSHO.
 
Hehehe!!! Ndio maana mama Suluhu ameamua kutoendeleza chuki za mtangulizi wake na kuhamasisha ushirikiano, haisaidii kitu kulumbana na mtu ambaye haitokuja siku umfikie, bora ushirikiane naye mjenge chumi zenu.
 
Kuna jamaa alifanya analysis anasema bajeti ya maendeleo ya kenya na ile ya Tanzania vinalingana. Kwa hiyo kenya ni kweli kabisa ana uchumi mkubwa kushinda Tz. Lakini mnalipa pesa nyingi kuservice mikopo ya madeni .kanusha hii point. ukweli kwa takwimu za bajeti za nchi mbili majirani wa damu waliogeuka watani wa jadi kama simba na yanga. NASUBIRI KANUSHO.
eti kama Simba na Yanga 😂 😂 😂 Kenya iko over ambitious., inafanya miradi mingi, kulingana na vision 2030 projections., wanajaribu kutimiza yale malengo yalio wekwa by 2030.., ndio maana mikopo haikosi.,
 
Kazi nzuri,tupe na takwimu za bandari yenu ina handle tani ngapi kwa mwaka maana ya DAR ni tani 17mil huku 5 tuu zikiwa destined kwenye nchi za jirani.
Mombasa port 2019 ilihandle 34 million tonnes. That is double mizigo iliyokuwa handled na Dar port.
 
True bado tuna uchumi mdogo kuliko Kenya ila watch out mama nimemuelewa sana maana yuko na sera za market oriented kwa vile na yeye ni mfanyabiashara na aliathiriwa vibaya na sera za ujamaa za mwendazake wa kuzimu.
True. Mama naona ana mitazamo ya market economy. Wacha tuone impact yake itakuwa gani baada ya miaka minne.
 
Kukopa ni njia ya kuleta ukwasi kwenye uchumi,hatukopi kugharamia recurrent expenditure bali miradi ya maendeleo.Na in fact tunakopa kidogo sana kuliko ilivyostahili na mbaya zaidi tunakopa kwenye soko la ndani.

Nilimsikia Finance Minister akisema seems Nchi haiaminiki kukopa kwenye masoko ya Kimataifa kutokana na poor rating na bado inatazamwa kama nchi maskini isiyojiweza,kwa hiyo they are working to iprove credit rating ili wakope kwenye masoko ya mitaji ya kimataifa na kuacha space ndani kwa ajili ya private sector.
Hio ni excuse tu. Mnaweza kopa hata uchina mkipenda. Mchina huwa haangalii credit ratings za nchi fulani. Wanakopesha hata failed states. Halafu mnaweza kukopa pia kwa World Bank na IMF ila lazima muwe ready kufungua masoko yenu to free-market competition. IMF haipendi kufanya kazi na nchi za kisoshiolisti. Serikali yenu bado inacontrol sekta nyingi za uchumi wenu. Health and education yenu inakuwa dominated na serikali.
 
Hio ni excuse tu. Mnaweza kopa hata uchina mkipenda. Mchina huwa haangalii credit ratings za nchi fulani. Wanakopesha hata failed states. Halafu mnaweza kukopa pia kwa World Bank na IMF ila lazima muwe ready kufungua masoko yenu to free-market competition. IMF haipendi kufanya kazi na nchi za kisoshiolisti. Serikali yenu bado inacontrol sekta nyingi za uchumi wenu. Health and education yenu inakuwa dominated na serikali.
Acha upimbi mikopo ya bilateral agreement ipo ila inakuwa sio mikubwa na wao ndio wanapanga bei yaani interest rate.

Na hao WB na IMF ndio wata gauge kiasi cha kukupa kulingana na ulivyo kuwa rated na akina Moody nk.

Lakini pia sera za mikopo kuelekea Nchi maskini zina masharti mengi Sana yasiyo na tija tofauti na kukopa kwenye masoko ya mtaji ya kimataifa
 
Kuna jamaa alifanya analysis anasema bajeti ya maendeleo ya kenya na ile ya Tanzania vinalingana. Kwa hiyo kenya ni kweli kabisa ana uchumi mkubwa kushinda Tz. Lakini mnalipa pesa nyingi kuservice mikopo ya madeni .kanusha hii point. ukweli kwa takwimu za bajeti za nchi mbili majirani wa damu waliogeuka watani wa jadi kama simba na yanga. NASUBIRI KANUSHO.

Mkopo unamaanisha tu 'delayed payment for development'.
Kwa hivyo, mkisema tunalipia mikopo, ukweli ni kwamba tunalipia barabara, hospitali, viwanda nk. (plus interest).
 
Acha upimbi mikopo ya bilateral agreement ipo ila inakuwa sio mikubwa na wao ndio wanapanga bei yaani interest rate.

Na hao WB na IMF ndio wata gauge kiasi cha kukupa kulingana na ulivyo kuwa rated na akina Moody nk.

Lakini pia sera za mikopo kuelekea Nchi maskini zina masharti mengi Sana yasiyo na tija tofauti na kukopa kwenye masoko ya mtaji ya kimataifa
Kukopa sio tatizo. Wacha excuses. Sema nyinyi wenyewe hamtaki kukopa. Kwani credit ratings zenu unadhani ni junk? Junk credit ratings ndio huwa inafanya msikopeshwe.
 
Hamna uwezo huo, nyie wenyewe mnaenda kulia kulia kwa mabeberu...
 
Hivi hata hesabu unaijua kweli?

Kenya

Kenya collection ya tax =16bill usd
Kenya budget = 50 bil usd
Kenya deficit =34 bill usd (za kukopa)
Kenya gdp=90bill usd
Kenya dept= 79 bill usd

Tanzania

Tax collection= 12 bill usd
Government budget = 14 bill usd
Wahisani na debt= remain 2 bill usd
Gdp=70 bill usd
Debt= 24 bill usd

Mwenye akili ni zwazwa ni mkenya anawelawela kiwira mkokoto kunkukurukutu


Tanzania
 
Badilisheni sera, muwe mabepari kama sisi., CCM imekomaa na sera za kijamaa hivi.., hawa achilii raiya wainuke kwa mpigo! nimekupata sasa. my bad.
Nigeria has more than 3 million registered Private Companies.
Five times The GDP of Kenya.
Has less Tax Revenue than Kenya.
Your Tax Revenue is actually anti-capitalist, fueled by a Big government overseeing a society with The highest Gini coefficient (inequality among the society).

What you just did here is, parading three pet pigs in your living room full of guests after spraying them with 3.4oz of Tom Ford's cologne.
Then looking at your guests with a big smile, asking them "What do you think of my babies Kamau, Njoroge and Kipchoge?"
 
Total taxes collected by KRA are $16B while Tanzanian total budget for 2021/2022 is $14B. This means that KRA can finance Tanzanian budget na wabaki na change ya $2B

KRA surpasses 2020/21 revenue target

This is the first time since financial year 2013/14

In Summary

•The 2020/2021 revenue target as reflected in the 2021 Budget Policy Statement was Sh1.652 trillion, which KRA surpassed with a surplus of Sh16.81 billion.
•This represents a performance rate of 101 per cent and revenue growth of 3.9 per cent compared to the previous financial year.

05 July 2021 - 04:00

The KRA headquarters at the Times Tower
The KRA headquarters at the Times Tower

Kenya Revenue Authority (KRA) has beaten its revenue target after an eight year struggle to meet its obligation in supporting the government's annual spendings.

The taxman has defined challenges brought about by the Covid-19 pandemic to surpass its target, since the financial year 2013/14.

Revenue collection in the financial year 2020/21, which ended on June 30, reached a new record of Sh1.669 trillion compared to Sh1.607 trillion collected in financial year 2019/20. This is both tax and non-tax revenue.

The 2020/2021 revenue target as reflected in the 2021 Budget Policy Statement was Sh1.652 trillion, which KRA surpassed with a surplus of Sh16.81 billion.

This represents a performance rate of 101 per cent and revenue growth of 3.9 per cent compared to the previous financial year.
It is consistent with the prevailing economic indicators, especially the projected GDP growth of 0.6 per cent in 2020, commissioner general Githii Mburu notes.

Revenue collection has more than doubled in the last 10 years from Sh707 billion in 2011/12 , representing a growth of 136 per cent.

In the period under review, the exchequer revenue grew by 2.3 per cent with a collection of Sh 1.544 trillion compared to Sh1.510 trillion collected in financial year 2019/20, and represents a performance rate of 100.9 per cent against the target of Sh1.530 trillion.

This is before accounting for Sh18.5 billion that the National Treasury has undertaken to pay on behalf of taxpayers for various reasons including economic hardship during the pandemic.

The Domestic Taxes Department (DTD) collected Sh1.039 trillion during the financial year translating to a performance rate of 99.8 per cent while Customs and Border Control collected Sh624.77 billion, surpassing its target of Sh606 billion.

Petroleum taxes amounted to Sh226.680 billion posting a growth of 34.5 per cent and a surplus of Sh12.252 billion.

Non-oil revenue recorded a growth of 16.4 per cent with collections amounting to Sh398.1 billion which was above target by Sh5.9 billion.

Corporation tax recorded a growth of 3.7 per cent in financial year 2020/21 despite a tough business environment, where the tax rate was reduced from 30 per cent to 25 per cent in the first half of the financial year.

"This performance was driven by increased remittance from energy, agriculture and construction sectors with a growth of 222.7 per cent , 33.1 per cent and 31.9 per cent respectively," Githii said in a statement.

Pay As You Earn however declined by 9.3 per cent, pegged on a reduction in the employment rate emanating from measures taken by mainly private firms to reduce operating costs as a result of the Covid-19 pandemic.

According to the taxman, the tax head was also affected by the reduction of the top PAYE rate from 30 per cent to 25 per cent and a 100 per cent tax relief for persons earning below Sh 24, 000 per month.

Withholding tax recorded a growth of 3.8 per cent which is a drop from an average growth of 18.2 per cent recorded the previous year.

"The performance was negatively impacted by depressed economic growth due to the impact of the Covid-19 pandemic," Githii said.

Domestic excise tax recorded a growth of 12 per cent compared to a decline of 6.4 per cent recorded in the last financial year.

The performance turnaround is attributed to the gradual reopening of the economy and extended operating hours for bars and restaurants.

Domestic VAT however recorded a decline of 7.9 per cent, primarily on effects of Covid-19 which saw business turnovers decline. The decline was also affected by the reduction of the VAT rate from 16 per cent to 14 per cent.

During the period under review, KRA implemented a number of Revenue Enhancement Initiatives that enabled the Authority to enhance revenue collection.

This was largely driven by enhanced compliance enforcement efforts and the implementation of new tax measures focused on ensuring that that non-compliant taxpayers pay their tax due.

The good performance is also attributed to Tax Base Expansion (TBE) which was a key deliverable in the authority's 7th Corporate Plan.

Through this initiative, KRA recruited more taxpayers through the newly implemented taxes including Digital Services Tax, Minimum Tax, and Voluntary Tax Disclosure among others.

Over the 7th Corporate Plan period, active taxpayers increased from 3.94 million to 6.1 million.

The introduction of Alternative Dispute Resolution (ADR) also saw taxpayers come forward to find an amicable solutions in disputes with KRA, Githii notes.

With the main objective being to ensure, faster, objective and efficient resolution of tax disputes, ADR enabled KRA to unlock Sh31.435 billion in taxes out of 552 cases resolved during the FY 2020/2021.

The enhanced recovery of tax arrears saw KRA mobilise Sh93.7 billion in the 2020/2021 compared to Sh84. 7 billion collected in financial year 2019/2020.

National Treasury has set the 2021/22 revenue target at Sh1.78 trillion, hoping the economy will rebound, projected at 6.3 per cent and 6.1 per cent in the medium.

Total revenue including A-I-A and grants is projected at Sh2.1 trillion, equivalent to 17.0 per cent of GDP.

The deficit in the Sh3.6 trillion will be funded through borrowing, both internally and externally, even as Treasury mulls reducing the fiscal deficit.

To meet its target, KRA is expected to collect Sh835 billion as income tax, which accounts for approximately 50 per cent of tax revenue, projected to increase by Sh102 billion.

The Authorities 8th Corporate Plan targets to collect Sh 6.831 trillion by the end of financial year 2023/2024.
Your wrong,Ingewezekana KE kutufinance endapo revenue yenu ingekua inawatosha plus ibaki $14B salio....lakini kwa akili yako ndogo hilo hukuliwaza....huwezi finance mtu wakati wewe mwenyewe hakikutoshi
 
Hivi hata hesabu unaijua kweli?

Kenya

Kenya collection ya tax =16bill usd
Kenya budget = 50 bil usd
Kenya deficit =34 bill usd (za kukopa)
Kenya gdp=90bill usd
Kenya dept= 79 bill usd

Tanzania

Tax collection= 12 bill usd
Government budget = 14 bill usd
Wahisani na debt= remain 2 bill usd
Gdp=70 bill usd
Debt= 24 bill usd

Mwenye akili ni zwazwa ni mkenya anawelawela kiwira mkokoto kunkukurukutu


Tanzania
Mlifika GDP ya $70B lini?😂😂😂 Ni lini mshawaikusanya tax ya $12B?😂😂😂
 
Back
Top Bottom