sure dogo ili tulioweka kwenye over3.5tule helaSisi ambao tunashabikia Algeria tunawatakia nyie ccm fc usiku mwema
Na tunasema mfungwe tu hakuna namna tena magoli yawe kuanzia 7
Bado 4Tatu tayari bado mbili
Piga mbwa hao warudi huko bongo na mahips kama bashiteNa baadae tutamuingiza MAHREZ akahitimishe kalamu
Natanguliza kumradhi zangu kwa Mh.Rais aliepo mapumzikoni Chato
Mwakyembe na Ibrahem Ajib wanacheeeka kimya kimya
Mpaka sasa Algeria 3-0 CCM stars.Piga mbwa hao warudi huko bongo na mahips kama bashite
Nduguzo wepi.. hao maharab?Ndugu zangu hawa
[emoji1026]5[emoji1241]0
Wapigwe 7 nitalala usingizi mororooooMpaka sasa Algeria 3-0 CCM stars.
Huku Ndungai akilala na joho lake la uspika leo kitandani kwa raha zake.
Algeria 3 CCM Stars 0. Nina furaha sana Leo. Nimeagiza kinywaji na natazama mechi kiulaini!Kwa jinsi ninavyowajua Algeria na jinsi wanavyocheza leo inaona Kuna points Tanzania itachukua leo sema wachezaji wetu n wadogo Sana kwa maana ya umbo japo mahindi, mchele, mihogo, mtama, mbuzi, ngombe, kuku wa kienyeji, mchicha, kisamvu, matembele vyote vinapatikana kirahisi
Senegal 1-0 KenyaWapigwe 7 nitalala usingizi mororoooo
Yaaani hata huyu amunike anajishushia heshima kufundisha hiki kikundi cha ccmSenegal 1-0 Kenya
Hakuna mipango na mikakati dhabiti ya kuinuia michezo hapa kwetu.Kwa jinsi ninavyowajua Algeria na jinsi wanavyocheza leo inaona Kuna points Tanzania itachukua leo sema wachezaji wetu n wadogo Sana kwa maana ya umbo japo mahindi, mchele, mihogo, mtama, mbuzi, ngombe, kuku wa kienyeji, mchicha, kisamvu, matembele vyote vinapatikana kirahisi