GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama tunajua Nyeti za Mzanzibari Myemeni ndiyo tushindwe kuzijua zenu tena za hapo jirani tu Karume Ilala? Hovyoooo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bodi ya ligi naona wamekaa kimya sijui shida niniKama tunajua Nyeti za Mzanzibari Myemeni ndiyo tushindwe kuzijua zenu tena za hapo jirani tu Karume Ilala? Hovyoooo!!!
Wapuuzi mno hao Jamaa. Sasa kama wako vyema katika kutunza Siri imekuwaje Sisi wengine tumezipata tokea jana night?bodi ya ligi naona wamekaa kimya sijui shida nini
Wapuuzi mno hao Jamaa. Sasa kama wako vyema katika kutunza Siri imekuwaje Sisi wengine tumezipata tokea jana night?
Ili iweje?AU WANAPIMA UPEPO KWANZA...
Wanasubiri machi 8 ipite. Wakitangaza sasa hivi mjadala wa dabi utafifia na kupelekea mechi hiyo kukosa mvuto na mapato kupungua.bodi ya ligi naona wamekaa kimya sijui shida nini
Kwahiyo Sheria huwa zinatoa room kwa huo Upuuzi au Sheria inataka Hukumu ikitoka bila kujali lolote itekelezwe haraka?Wanasubiri machi 8 ipite. Wakitangaza sasa hivi mjadala wa dabi utafifia na kupelekea mechi hiyo kukosa mvuto na mapato kupungua.
Kijana tokea tuachane Kitaaluma SAUT Mwanza mwaka 2009 Mwezi November umepotea sana. Hujambo lakini? za huko!Mikia kipigo kipo pale pale
Sijambo, nimepita mitaa ya nyamalango juzi kupo kama manzese 😀😀Kijana tokea tuachane Kitaaluma SAUT Mwanza mwaka 2009 Mwezi November umepotea sana. Hujambo lakini? za huko!
Nimecheka sana Mkuu kwani hilo eneo nina Kumbukumbu nalo sana tu hasa kwa Mademu wepesi ila wana Gono balaa!!Sijambo, nimepita mitaa ya nyamalango juzi kupo kama manzese 😀😀
Mabox ya azuma yalitapakaa kama jezi za gongowazi 😂😂, kitambo sanaNimecheka sana Mkuu kwani hilo eneo nina Kumbukumbu nalo sana tu hasa kwa Mademu wepesi ila wana Gono balaa!!
Kutakua kuna mwanya unaowawezesha kufanya yote hayo.Kwahiyo Sheria huwa zinatoa room kwa huo Upuuzi au Sheria inataka Hukumu ikitoka bila kujali lolote itekelezwe haraka?
Wanasubiri machi 8 ipite. Wakitangaza sasa hivi mjadala wa dabi utafifia na kupelekea mechi hiyo kukosa mvuto na mapato kupungua.
waone mwitikio wa mashabikiIli iweje?
Kisha.....!!!!!!!waone mwitikio wa mashabiki