Tayari mmeshamfungia Ali Kamwe 'Mvua Mbili Kavu' sasa mnaogopa nini Kutangaza leo? Wanafiki wakubwa nyie

Tayari mmeshamfungia Ali Kamwe 'Mvua Mbili Kavu' sasa mnaogopa nini Kutangaza leo? Wanafiki wakubwa nyie

Ao bodi ya ligi/kamati awawezi kutangaza kwakua iyo adhabu ilikua ya maelekezo na siku au muda watakao toa iyo taarifa hawata taka maswali kwakua ni maelekezo toka juu.
Mwanzoni walivyosema wanampeleka Kamati ya Maadili ni kanuni zinataka ivyo ila walishapanga adhabu yake akifikiahwa kule kamati ya maadili kama utaratibu unavyo taka.

Kamati ya maadili imetekeleza amri ya kumfungia waliyo pewa.

Kilicho washangaza ao waliotoa maelekezo ya kufungiwa Ally Kamwe ni taarifa kuvuja kabla kamati /bodi ya ligi haija waandikia rasmi wahusika au kutolewa rasmi kwa taalifa iyo kwa umma.
Mpira unaendeshwa kihuni, ukiongea ukweli katika mpira wetu unaonekana Adui.
Watu wanajadili namna ya kukukomeaha wakiwa bar na kinacho fuatia ni utekelezaji.
Iyo ndio hali halisi iliyopo katika mpira wetu kwa sasa.
We utopolo kwani kaonewa
 
Badala ya kumfungia Aziz Ki n Pacome mnamfungia Ally kamwe halafu mkila 6 sijui mtasemaje.
Aziz Ki ameshajifungia mwenyewe wiki mbili. Ameteguka nyonga na hayupo mazoezini, anaonekana hospitali
 
bodi ya ligi naona wamekaa kimya sijui shida nini
Shida ni kuwa wakitangaza tu wataingia matatani kisheria na kijana atakuwa na haki kushtaki Fifa na kudai fidia na atashinda kesi asubuhi tu sababu hakuna timu ligi kuu inaitwa kolo, kolo ni timu iko huku maskani kwetu Buza Mpalanger!!
 
Wazee wa Husuda na Vijicho lazima wamuombee Mabaya kijana wa watu aliyeamua kumjengea kiabanda cha kulala mama yake mzazi
 
Shida ni kuwa wakitangaza tu wataingia matatani kisheria na kijana atakuwa na haki kushtaki Fifa na kudai fidia na atashinda kesi asubuhi tu sababu hakuna timu ligi kuu inaitwa kolo, kolo ni timu iko huku maskani kwetu Buza Mpalanger!!
NAKUBALI

hata na hivyo sio Yanga au Ali mwenyewe hajapata taarifa rasmi
 
Back
Top Bottom