Single_Father
JF-Expert Member
- Jan 23, 2025
- 281
- 438
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watoe tamkoKisha.....!!!!!!!
Hawa ni Wahuni na uhuni hautawaisha maana wanabebwa na siasa.Kama tunajua Nyeti za Mzanzibari Myemeni ndiyo tushindwe kuzijua zenu tena za hapo jirani tu Karume Ilala? Hovyoooo!!!
We utopolo kwani kaonewaAo bodi ya ligi/kamati awawezi kutangaza kwakua iyo adhabu ilikua ya maelekezo na siku au muda watakao toa iyo taarifa hawata taka maswali kwakua ni maelekezo toka juu.
Mwanzoni walivyosema wanampeleka Kamati ya Maadili ni kanuni zinataka ivyo ila walishapanga adhabu yake akifikiahwa kule kamati ya maadili kama utaratibu unavyo taka.
Kamati ya maadili imetekeleza amri ya kumfungia waliyo pewa.
Kilicho washangaza ao waliotoa maelekezo ya kufungiwa Ally Kamwe ni taarifa kuvuja kabla kamati /bodi ya ligi haija waandikia rasmi wahusika au kutolewa rasmi kwa taalifa iyo kwa umma.
Mpira unaendeshwa kihuni, ukiongea ukweli katika mpira wetu unaonekana Adui.
Watu wanajadili namna ya kukukomeaha wakiwa bar na kinacho fuatia ni utekelezaji.
Iyo ndio hali halisi iliyopo katika mpira wetu kwa sasa.
Aziz Ki ameshajifungia mwenyewe wiki mbili. Ameteguka nyonga na hayupo mazoezini, anaonekana hospitaliBadala ya kumfungia Aziz Ki n Pacome mnamfungia Ally kamwe halafu mkila 6 sijui mtasemaje.
Shida ni kuwa wakitangaza tu wataingia matatani kisheria na kijana atakuwa na haki kushtaki Fifa na kudai fidia na atashinda kesi asubuhi tu sababu hakuna timu ligi kuu inaitwa kolo, kolo ni timu iko huku maskani kwetu Buza Mpalanger!!bodi ya ligi naona wamekaa kimya sijui shida nini
NAKUBALIShida ni kuwa wakitangaza tu wataingia matatani kisheria na kijana atakuwa na haki kushtaki Fifa na kudai fidia na atashinda kesi asubuhi tu sababu hakuna timu ligi kuu inaitwa kolo, kolo ni timu iko huku maskani kwetu Buza Mpalanger!!