Tayari nimetoa mahari ukweni

Tumwambie ukweli au tumuache[emoji1787][emoji1787]
 
Ukiandika "laa hasha" usiandike "hapana" hapohapo.Umerudia neno lenye maana sawa na la awali.Barabara ya Mwanza-road!
 
Hebu tupiamo kapicha cha shemeji yetu inbobo na namba yake ya simu tuone basi kama ni mzuri kweli kama unavyosema ili nikushauri uidai mahari yako au laaa
 
Hiyo mahari ya 6M, huyo binti yao ni bikra namaanisha pengine umejihakikishia kiwa hana maex?

6Million? Nadhani kambi yao ni aina ya wale watu wasiokuwa na ushawishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…