Hiimkuu inaitwa Time Travel [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo la hii nchi viongozi huona wananchi wote hawana akili Ila wao tu ndyo wanaaakili. Wanajua wakiweka serial numbers mtagundua mapema kama Walimu hawakufika 13000. Wakiweka vyuo walivyosoma itakuwa rahisi kuwagundua kama wamepika majina[emoji1][emoji1][emoji1]. Kuhusu mtu kumaliza form four 2019 na kuajiriwa 2020 kama qualified mwalimu, hii najua Elon Musk anaweza kuielezea inawezekanaje????
Walau sasa hata umebadilisha lugha, umeanza kuongea kwa upole siyo mwanzoni ulivyonijibu kwa madharau.Ndugu embu kasome tena alipoandika mtoa mada.
Mimi kufanya hivyo sikukurupuka.
Embu rudia post yake nilioiquote unipe mrejesho.
Shida iko wapi mkuu.We' ni muha?
Vyovyote vile jina moja haliweI kukaba nafasi 195 watu wasiongee tena kutoka tamisemi? Swala nyeti kama la ajira? Nado hao watoa ajira wamechemkaNdugu embu kasome tena alipoandika mtoa mada.
Mimi kufanya hivyo sikukurupuka.
Embu rudia post yake nilioiquote unipe mrejesho.
Lakini umeona concern yangu?Walau sasa hata umebadilisha lugha, umeanza kuongea kwa upole siyo mwanzoni ulivyonijibu kwa madharau.
Nilikurupuka mkuu, nilifikiri unabisha kwamba jamaa katokea mara 196 kumbe mtoa mada amesema mara 3233..niwie radhi [emoji120]Shida iko wapi mkuu.
Hayo ni makosa wakati wa kuprint.Vyovyote vile jina moja haliweI kukaba nafasi 195 watu wasiongee tena kutoka tamisemi? Swala nyeti kama la ajira? Nado hao watoa ajira wamechemka
Walau sasa hata umebadilisha lugha, umeanza kuongea kwa upole siyo mwanzoni ulivyonijibu kwa madharau.
Nimeiona mkuu.Lakini umeona concern yangu?
Ndio maana nikakuambia umekurupuka.
Sawa mkuu.Nimekurupuka mkuu, nilifikiri unabisha kwamba jamaa katokea mara 196 kumbe mtoa mada amesema mara 3233..niwie radhi [emoji120]
Sawa mkuu.Nimeiona mkuu.
NA KWELI NILIKUWA NIMEKURUPUKA TENA KIBOYA HASA.
Unataka kusema halijajitokeza mara hizo zote au sijakuelewaHayo ni makosa wakati wa kuprint.
Sidhani kama ina effect sana.
Ingekuwa limetokeza na katikati hapo kungekuwa na shida.
Rejea alichoandika mtoa mada.Unataka kusema halijajitokeza mara hizo zote au sijakuelewa
Sizungumzii kilicholetwa na mtoa mada nazungumzia kauli kwamba jina kutokea mara 196 haina madhara yoyote kama ulivyo sema.Rejea alichoandika mtoa mada.
Na hio screenshot.
Hapana,Sizungumzii kilicholetwa na mtoa mada nazungumzia kauli kwamba jina kutokea mara 196 haina madhara yoyote kama ulivyo sema.
Kama limrtokea mara 196 maana yake kuna nafasi 195 za vijana zimechukuliwa na jina moja
Sasa kilichokukasirisha ni nn!?Kwani mtoa mada kasemaje
Nachukia watu mnaokurupuka.
Unadhani mimi kufanya hivyo sielewi nilichokifanya.?
Huu haukuwa utani mkuu wangu.Sasa kilichokukasirisha ni nn!?
Hujasoma fasihi!?
Hujui tamathali, misemo, nahau, utani?
Hata km hukusoma kwa kiwango kikubwa lakini o-level utakuwa ulisoma, iwe kweny Kiswahili au kiingereza.
Acheni kuhusianisha kila kitu na serikali, vingine ni vyetu tu wananchi
Aya we endelea kuchukulia kila jambo kwa uzitoHuu haukuwa utani mkuu wangu.
Wala jukwaa hili si mahala pake.
Haaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuuAya we endelea kuchukulia kila jambo kwa uzito
Wee jamaa umekurupuka vibaya kama kifurushi muwe munasoma kwamakiniUlivyoandika mbona hazifiki mara hizo ulizoandika na wakati mleta mada alissema jina limejirudia mara 196, na wewe ukaleta kihelehele Cha kuscreenshot Hilo jina ukiwa umeli-search ulimaanisha Nini?
Hukumaanisha kumpinga jamaa kwamba jina halijajirudia mara 196?
Au hata hukuelewa ulichoandika? Kama hukuelewa, tunaoelewa ndiyo tumekuelewa ulimaanisha kumpinga mleta mada kwa uzuzu wako wa kutumia teknolojia.