The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Tazama hizi ni barabara za Ivory Coast kwa uchache.
Ivory Coast ni nchi imekuwa kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe hadi miaka ya hivi karibuni.
Angalia miundombinu yao ya barabara.
Jiulize Tanzania tunakosea wapi?
Ivory Coast ni nchi imekuwa kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe hadi miaka ya hivi karibuni.
Angalia miundombinu yao ya barabara.
Jiulize Tanzania tunakosea wapi?