Tazama gharama za ukarabati wa nyumba

Tazama gharama za ukarabati wa nyumba

Ukikamatwa ukaambiwa thibitisha ulichoandika unaweza.
nimejaribu kuZoom kujuwa Halmashauri gani iliyoandika hivyo nimeshindwa kuona
Hauruhusiwi kufanya marekebisho yoyote kwenye nyumba bila kupata ruhusa toka jiji, mnaishi bila kujua kanuni na sheria za jiji! Ukipigwa faini unaona unaonewa.
Unazoom ukurasa wa tano!
 
ndio manake ukikamatwa unabadilisha au ikijulikana ulibadilisha bila kibali utapigwa faini ya Kati ya laki 2 hadi 5
Ili kuwanyoosha vizuri hawa wanyongwe inatakiwa mgambo/mtendaji/mwenyekiti wakidaka mtu anayekarabati nyimba bila kibali apewa commisson 10% ya faini itakayolipwa.
 
Tozo hizi zipo miaka wewe ndiyo kwanza unazijua! Ipo pia tozo ya kuwasha jenereta. Hebu tusubiri tozo ya kuingiza godoro jipya ndani ya nyumba.
Umasikini ni mbaya unaondoa uwezo wa kufikiri, hivi mtu na akili yake anathubutu kuweka tozo ya kusafisha choo! Anataka tuishi na vyoo vichafu! Inawezeka tulipata uhuru kwa makosa maana aliyetutawala alijenga vyoo vya bure vya umma.
😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌 Kuna mtu alisema hii nchi hata ukimpa kichaa au mwendawazimu anaiongoza maana hata wananchi wake hamna kitu.
 
Kwahyo hawa nao ndo wamebuni hiki ni chanzo cha mapato? Wanaacha kupambana na wezi wa madini, wafanyakazi wakihindi wasio na vibali nchini, wauza madawa na wawindaji haramu.. hii nchi ni ngum sana
 
Ukikamatwa ukaambiwa thibitisha ulichoandika unaweza.
nimejaribu kuZoom kujuwa Halmashauri gani iliyoandika hivyo nimeshindwa kuona

Nikamatwe ili nithibitishe nini?
Ukiwa na akili ndogo tu ndio utakuwa na mawazo Kama yako
 
Mmmhh mbona bei ghali sana? Kibali cha ujenzi ni laki 2 na nusu kwa nyumba ya kawaida na fense ya kawaida haizidi elfu 70 ,mbona bei hizo ni kubwa?
 
Nikamatwe ili nithibitishe nini?
Ukiwa na akili ndogo tu ndio utakuwa na mawazo Kama yako
Wewe umewah kujenga nyumba yako na ukapata kibali cha Ujenzi.
Unajuwa kibali cha Ujenzi kinakuwa na mchanganuo kiwango cha pesa unachotakiwa kulipa au Una andika tu mada bila kufanya uchunguzi.
Wakati nafuatilia kibali cha Ujenzi Municipal niliulizwa kuwa Nyumba yako utajenga fence jibu langu nilikataa. Hivi unajuwa kwa nini niliulizwa ili swali.
Ukipata kibali cha Ujenzi hivo vitu vyote ulivyoandika hapo hivina kazi.

Haya ndo matatizo ya kukaa nyumba ya kupanga au kwa wazazi ufahamu hata taratbu za vibali vya Ujenzi Unaandika kitu usicho kijuwe
Ukipata kibali cha Ujenzi utajenga Choo, utaweka plasta, utaweka rangi, utaweka marumaru, ukarabati wa nyumba yako n.k Vitu vyote vilivyopo kwenye hiyo karatasi utafanya.
 
Mmmhh mbona bei ghali sana? Kibali cha ujenzi ni laki 2 na nusu kwa nyumba ya kawaida na fense ya kawaida haizi elfu 7 ,mbona bei hizo ni kubwa?
Huyu mleta mada anaishi kwenye nyumba ya kupanga au kwa wazazi. Angekuwa amejenga wala asingeleta uzi Kama huu. Sijuh ka-copy wapi na ku-paste
 
Wewe umewah kujenga nyumba yako na ukapata kibali cha Ujenzi.
Unajuwa kibali cha Ujenzi kinakuwa na mchanganuo kiwango cha pesa unachotakiwa kulipa au Una andika tu mada bila kufanya uchunguzi.
Wakati nafuatilia kibali cha Ujenzi Municipal niliulizwa kuwa Nyumba yako utajenga fence jibu langu nilikataa. Hivi unajuwa kwa nini niliulizwa ili swali.
Ukipata kibali cha Ujenzi hivo vitu vyote ulivyoandika hapo hivina kazi.

Haya ndo matatizo ya kukaa nyumba ya kupanga au kwa wazazi ufahamu hata taratbu za vibali vya Ujenzi Unaandika kitu usicho kijuwe
Ukipata kibali cha Ujenzi utajenga Choo, utaweka plasta, utaweka rangi, utaweka marumaru, ukarabati wa nyumba yako n.k Vitu vyote vilivyopo kwenye hiyo karatasi utafanya.

Tofautisha Kati ya Ujenzi na ukarabati.
PUMBAVU Wewe.

Kwa kifupi ukipata kibali cha kujenga nyumba yako ukitaka kubadili structure ya hiyo nyumba unatakiwa uombe kibali na ndio ulipie .

Siishi Kwenye nyumba ya kupanga muda mrefu sana
Nilianza biashara ya kupangisha watu Kwenye nyumba mwaka 2002 kwa sasa na wapangaji 22 na kodi ndogo Kwenye nyumba zangu ni laki 2 Kwenye apartment zangu za Chumba Sebule choose jiko, namiliki nyumba kubwa pia.
Nilishawahi kupost hata hapa jf natafuta MPANGAJI Kwenye one of my houses.
Soma uelewe post acha kukurupuka.
 
Tofautisha Kati ya Ujenzi na ukarabati.
PUMBAVU Wewe.

Kwa kifupi ukipata kibali cha kujenga nyumba yako ukitaka kubadili structure ya hiyo nyumba unatakiwa uombe kibali na ndio ulipie .

Siishi Kwenye nyumba ya kupanga muda mrefu sana
Nilianza biashara ya kupangisha watu Kwenye nyumba mwaka 2002 kwa sasa na wapangaji 22 na kodi ndogo Kwenye nyumba zangu ni laki 2 Kwenye apartment zangu za Chumba Sebule choose jiko, namiliki nyumba kubwa pia.
Nilishawahi kupost hata hapa jf natafuta MPANGAJI Kwenye one of my houses.
Soma uelewe post acha kukurupuka.
Wewe ndo Mpumbavu tena kilaza
Hizo nyumba utakuwa umejenga kijijini ungekuwa umejenga mjini ukafuata taratibu za kuomba kibali cha ujenzi usingeleta Mada kama hii
Unalete habari za Uongo
Ukienda kuomba kibali cha Ujenzi Mimi nimeulizwa je kwenye hicho kiwanja umeikuta nyumba au kuna jengo lelote lipo, nimeulizwa je unataka kuweka Fence na maswali mengine unaulizwa ukisema ndio gharama ya Fence na jengo lililopo unajumlishiwa kupata kibali cha Ujenzi
Hizo Tozo ulizoweka juu tuambie zinaanza lini? Ujuwe kuwa ww ni Mpumbavu

Nina kawaida ya kufanya Ukarabati Nyumba yangu kila baada ya miaka 5 kupiga rangi kurekebisha miundombinu ya bomba, mbona sijatozwa hizo gharama ulizoandika hapo
 
Back
Top Bottom