Tazama grafu ya Simba ilivyoanza kuporomoka

Tazama grafu ya Simba ilivyoanza kuporomoka

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
weKUNDU wa msimbazi walianza
4-0
3-0
2-0
1-0
2-2(droo)
Inayofuata ni tarehe 19 sijui nini kitatokea sasa[emoji23]

Je derby itakuaje[emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]
1727746352255.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Utopolo aka nyuma mwiko mmepata sehemu ya kujifichia...yani droo mmeikalia shingoni kama mnalipwa....tungefungwa jee?
Mazuzu FC....
 
Mbona nyie mbumbumbu mlikuwa mnabweka yanga alipokuwa anashinda goli Moja Moja? Mmesahau mlikuwa mnasemaje!
Kwahyo ndo mnalpa kisasi ama??
Tulieni fokasini na mechi ya derby ndugu zetu Mazuzu...
 
Utopolo aka nyuma mwiko mmepata sehemu ya kujifichia...yani droo mmeikalia shingoni kama mnalipwa....tungefungwa jee?
Mazuzu FC....
Ila mashabiki wa mbu*3 mna roho ngum sana, imagine mnafanyiwa comeback na cost wachovu then refa anamaliza mpira mkitaka kuchomekwa cha 3, mshukuruni sana refa kwa kuokoa jahazi.
 
Ila mashabiki wa mbu*3 mna roho ngum sana, imagine mnafanyiwa comeback na cost wachovu then refa anamaliza mpira mkitaka kuchomekwa cha 3, mshukuruni sana refa kwa kuokoa jahazi.
Sasa unatakaje??? Cha ajabu ni nini kwny mpira?.
Mazuzu mtuache...
 
Back
Top Bottom