Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Haina shida mkuuNgoja tuanze kuthibitisha utafiti huo kwa kuangalia replies kwenye huu uzi wako,ndo tujue we 'Great thinker' au kichwa Maji.
nilijua tu komenti kama hii itakuwepoUkianzisha upuuzi raia wasipo replies na ww utaitwa great thinker au?
Collect=correctnilijua tu komenti kama hii itakuwepo
Ishu ni hivi ukiwa great thinker muda mwingine unaweza kuonekana kichaa/kilaza kwa kuwa utakuwa na mawazo tofauti sana kuliko wengine na ukitaka kuamini hilo angalia asilimia kubwa ya wanasayansi mabingwa wengi wao walionekana vilaza na walikuwa watu wa kuwakosoa malectures wao na mara nyingi walikuwa wanapata alama hafifu kwenye mitihani yao lakini mwisho wa siku wao ndo walionekana walikuwa wapo collect
Nafikiri mpaka hapa umenielewa
Collect ×nilijua tu komenti kama hii itakuwepo
Ishu ni hivi ukiwa great thinker muda mwingine unaweza kuonekana kichaa/kilaza kwa kuwa utakuwa na mawazo tofauti sana kuliko wengine na ukitaka kuamini hilo angalia asilimia kubwa ya wanasayansi mabingwa wengi wao walionekana vilaza na walikuwa watu wa kuwakosoa malectures wao na mara nyingi walikuwa wanapata alama hafifu kwenye mitihani yao lakini mwisho wa siku wao ndo walionekana walikuwa wapo collect
Nafikiri mpaka hapa umenielewa
Utafiti uko Wapi?Inasemekana kama mtu kaanzisha mada na ikapata replies nyingi basi huyo mtu hafai kuitwa great thinker kwa kuwa hana uwezo wa kuandaa mada ambayo itasababisha watu waumize kichwa kwenye kuchangia
Hivyo basi ukiona umeanzisha mada na umepata replies nyingi jua fika huna sifa ya kuitwa great thinker kwa kuwa huna uwezo wa kufikiria deep zaidi kuliko wengine
Kwa maana mada rahisi kila mtu ana uwezo wa kuchangia ila mada za kiutulivu na zenye kuhitaji uwezo wa hali ya juu kukomenti huwa na replies chache kwa kuwa huchangiwa na great thinkers only
Hivyo basi ukiona umeanzisha thread na umepata replies chache jua fika wewe ni great thinker
Tchaaaoooo
hamna cha maana ulichoandika'Inasemekana' na akina nani yaani credible sources? Halafu idadi ya juu ya replies kwa mada ni ngapi ili mtoa mada awe great thinker? Je great thinking ni relative? Je, huoni kama mada yenye replies nyingi ndio nzuri kwa maana ina-provoke debate na kujenga zaidi kuliko kukosa replies? Wewe katika context ya social media 'reply' unai-define vipi?
Ulishawahi kuona presentation ambayo haina Q&A?
mawazo yako ya kikubwa yako wapi?Utafiti uko Wapi?
Sijaona utafiti kwenye huu uzi, nilichikiona ni vijimawazo vya katoto