Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mapenzi ya kweli hayafichiki hata kidogo na pia ni ukweli usiopingika ambao hata yeye alikiri kilichomuondosha Yanga ni ujio wa Diamond Platnumz hivyo akaona wivu Diamond alivyokuwa akihusudiwa na kupewa kipaumbele kwa hiyo jamaa akaamua asepe tu ila kimoyo moyo anaumia.
Sasa bhana hii ni short clip inaonesha wazi jamaa anavyofurahia matokeo mabovu wanayoyapata makolo fc /tabulele fc au ukipenda waite mizoga football club.
Ndio maana hata juzi walivyokuwa Gym na Ommydimpoz akitaniwa kuhusu Simba kufungwa goli tano jamaa alionesha hajali wala nini zaidi na zaidi alikuwa na nyuso ya Furaha muda wote.
Kama hiyo haitoshi kama mnakumbuka kwenye Ile mechi ya ufunguzi Simba alipokuwa anacheza na Al Ahly jamaa aliwatosa kimtindo kuwapigia ngoma yao ya Simba badala yake akawapigia Sumu ile ilikuwa ni ishara tosha jamaa hayupo upande wao.
Sasa bhana hii ni short clip inaonesha wazi jamaa anavyofurahia matokeo mabovu wanayoyapata makolo fc /tabulele fc au ukipenda waite mizoga football club.
Ndio maana hata juzi walivyokuwa Gym na Ommydimpoz akitaniwa kuhusu Simba kufungwa goli tano jamaa alionesha hajali wala nini zaidi na zaidi alikuwa na nyuso ya Furaha muda wote.
Kama hiyo haitoshi kama mnakumbuka kwenye Ile mechi ya ufunguzi Simba alipokuwa anacheza na Al Ahly jamaa aliwatosa kimtindo kuwapigia ngoma yao ya Simba badala yake akawapigia Sumu ile ilikuwa ni ishara tosha jamaa hayupo upande wao.