Tazama harusi ya kigogo wa CHADEMA, Henry Kilewo alivyofunga ndoa na Joyce Kiria

Ameruhusiwa kufunga ndoa kanisani sababu joyce ameshafunga ndoa nyingine ndio maana wamebatilisha ndoa huwa hawavunji wanasema ndoa batili

Unbiblical. Sijui hata kama unaelewa ulisemalo. Nani wamebatilisha?
 

1. KKKT? Kwani amefungia kanisa gani hiyo ndoa?
2. Kubatilisha ndoa wala sio siri. Mfano unafunga ndoa na binti. Baadaye unagundua kuwa ana ndoa halali na mwanaume mwingine waliyetengana. Hakika hiyo ndoa ya pili ni batili. Ama unaoa mwanamke. Anapofia chumbani anagundua kuwa jogoo hawiki na ni tatizo lako la muda mrefu, hiyo ndoa ni batili. Lakini si kwa sababu ya kuzabwa vibao. Ndoa bado inasimama.
3. Kufunga ndoa nyingine bomani ni kuishi katika uzinzi, na kubadili dini haijawahi, na wala haitawahi kuwa sababu ya talaka. Hizi ndio unaziita sababu kuu na kusifia makanisa yako? Soma biblia.








 

nahisi umeongea kitu ambacho huna hakika kama unakifahamu vizuri. makanisa yote yana uwezo wa kubatilisha ndoa, ila procedures ndio zinatofautiana kwa makanisa. hata yale makanisa makubwa duniani (linaloongelewa hapa likiwa moja wapo) yanaweza kubatilisha ndoa. labda nikuulize kanisa/ dhehebu lipi hilo ambalo haliwezi kubatilisha ndoa?
 

hata Catholics wanabatilisha kwa sababu za hapo juu ukiongeza na ile ya kwamba kama ikithibitishwa waliooana ni ndugu wa damu
 

Dhehebu lolote linalosimamia maandiko. Vinginevyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe
 

DJ Nelly ana Sura Nzito kweli Bora Kamanda sura yake nyepesi.
 
mumeambiwa ndoa ya kwanza ilifungiwa kanisani,na hii ya pili imefungiwa bomani!! kha!vipi nyie makongosho?
 


ungalituwekea mistari ya biblia , tungalikushukuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…