Tazama Hii Picha Halafu uniambie Tatizo nini!

Tazama Hii Picha Halafu uniambie Tatizo nini!

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Niaje wadau vidole vyangu vya Mikono vimekiwa vikiwasha na Kutoka vipele ambavyo vipo Kwa mbali kama vionekanavyo hapo pichani.. isitoshe nimekuwa na kauchovu flani.. Mafua yasiyoisha mwezi na Kitu.. pia Kwenye vidole vya Miguu Kuna muwasho kama wa fungus hivi..

Tazama hizi picha kisha uniambie ni Tatizo gani!
IMG_20190427_122137.jpeg
IMG_20190427_122053.jpeg
 
Jaribu dawa za kimasai tena tafuta yule mmasai hasa wa porini sio hawa wa msata watakuuzia mavi ya kindoo
Niaje wadau vidole vyangu vya Mikono vimekiwa vikiwasha na Kutoka vipele ambavyo vipo Kwa mbali kama vionekanavyo hapo pichani.. isitoshe nimekuwa na kauchovu flani.. Mafua yasiyoisha mwezi na Kitu.. pia Kwenye vidole vya Miguu Kuna muwasho kama wa fungus hivi..

Tazama hizi picha kisha uniambie ni Tatizo gani!View attachment 1082349View attachment 1082350
 
Nilihisi Tu vidole vinawasha nikapotezea ilikuwa wiki ilopita.. Ila Baada ya Kuangalia Kwa umakini ndo nikagundua Kuna vipele kwa mbali..
Kilianza kuumaje kwanza
 
Chukua kitunguu Swaumu/saum, kisage halafu bandika kidoleni Au Penye mwasho/au uvimbe funga na plasta Au bandeji kwa masaa 24 tu
Ikiwezekana Kula punje moja ya kitungu saumu.
KESHO Leta mrejesho hapa.
 
Hiyo hata mm ishawahi kunitokea ilianza hivyo kama ww,
mm ilikuwa hvyo vidude vyeupe kwa ndani vilizunguka kidole changu cha pete maeneo ya chini kidogo kwenye kucha baadae kikavimba, usaha ukatunga kwa ndani kucha yote ilioza aibu kuachia kidole changu, nilikuwa nakamua taratibu taratibu maana kinauma hadi kikakauka, siku tumia dawa kwa kweli kazi iliyobaki niliangaika na ile kucha iliyo oza sijui kuharibika kuinyofua siku hadi siku ikaisha na ikaota mpya.
Kuna siku tena nakiviona vidalili kama vya mwanzo nikameza dawa za minyoo havikuendelea.
Kwa hiyo meza kwanza dawa za minyoo uone kama itaendelea.
 
Hivi siyo vile vya mdudu. Ninaona ni vidogo. Ila vitafika mahali vitakauka na kutoa magamba fulani yataumuka na utayatoa kama dead skin. Hapo ni udhaifu mwilini wa kinga au hormones. Hivyo nakushauri nenda hospital fanya full blood count na kipimo cha hormone T3, T4 na ISH plus Cortisol levels kwa kuwa unasema una uchovu.
 
Hivi siyo vile vya mdudu. Ninaona ni vidogo. Ila vitafika mahali vitakauka na kutoa magamba fulani yataumuka na utayatoa kama dead skin. Hapo ni udhaifu mwilini wa kinga au hormones. Hivyo nakushauri nenda hospital fanya full blood count na kipimo cha hormone T3, T4 na ISH plus Cortisol levels kwa kuwa unasema una uchovu.
Na ameze dawa ya minyooo
 
Mkuu you have A Point Naomba Nenda deep kidogo unieleze
Hivi siyo vile vya mdudu. Ninaona ni vidogo. Ila vitafika mahali vitakauka na kutoa magamba fulani yataumuka na utayatoa kama dead skin. Hapo ni udhaifu mwilini wa kinga au hormones. Hivyo nakushauri nenda hospital fanya full blood count na kipimo cha hormone T3, T4 na ISH plus Cortisol levels kwa kuwa unasema una uchovu.
 
Back
Top Bottom