Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.Ng'ombe akiwa kwenye foleni akisubiri kwenda kuchinjwa. Wanyama pia wanaelewa wanacho tendewa🥺😰😥
View attachment 3269463
Umempiga za uso. 👊👊👊Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.
Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.
Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?
Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.
Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
Wewe kweli Genius . Maelezo yako ni pure kabisa.Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.
Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.
Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?
Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.
Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
Mkuu hata akiwa mtoto watu tunachinja, kuna nyama wanaita Veal ni tamu sana, hawa viumbe wapo kwa ajili hiyoBasi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.
Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.
Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?
Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.
Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
Lazima nature iheshimiweDah hata huruma huna bruh. Unaandika kikatili sana.
Aisee una michoro pia. Kwani unafanya kazi buchani?Lazima nature iheshimiwe
View attachment 3269482
Bahati mbaya au nzuri wameandikiwa waliwe maisha Yao ni mafupi so hakuna namna.Ng'ombe akiwa kwenye foleni akisubiri kwenda kuchinjwa. Wanyama pia wanaelewa wanacho tendewa🥺😰😥
View attachment 3269463