Tazama hii picha utahisi uchungu na kulia. Inahusu mnyama

Tazama hii picha utahisi uchungu na kulia. Inahusu mnyama

Nikola24

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2024
Posts
222
Reaction score
517
Ng'ombe akiwa kwenye foleni akisubiri kwenda kuchinjwa. Wanyama pia wanaelewa wanacho tendewa🥺😰😥

1741889080901.jpg
 
Ng'ombe akiwa kwenye foleni akisubiri kwenda kuchinjwa. Wanyama pia wanaelewa wanacho tendewa🥺😰😥

View attachment 3269463
Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.

Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.

Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?

Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.

Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
 
Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.

Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.

Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?

Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.

Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
Umempiga za uso. 👊👊👊
 
Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.

Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.

Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?

Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.

Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
Wewe kweli Genius . Maelezo yako ni pure kabisa.

Lakini je wanyama hawajui wanacho tendewa?
 
Basi hata utumie ubongo wako kufikiria japo ulilenga kuwa na ujumbe wenye maana.

Picha unayoiona hapo ni ya ng'ombe mtoto, yaani NDAMA. Kwa kumuangalia tu, muonekano wa ngozi yake, batch number aliyobandikwa na hata nywele zake utafahamu fika hana muda mrefu tangu azaliwe.

Hivyo, wala hayupo kwenye foleni ili akachinjwe. Nani amchinje ndama wa masaa kadhaa?

Picha hapo juu, ni ndama anaumwa jicho. Uwekundu katika jicho lake linathibitisha. Na pengine ni ugonjwa wa ng'ombe uitwao pink eye.

Mimi si Vegetarian na kamwe siwezi kuwa. Mimi ni muumini, na naamini kuwa wanyama tuliopewa ni kwa matumizi yetu.
Mkuu hata akiwa mtoto watu tunachinja, kuna nyama wanaita Veal ni tamu sana, hawa viumbe wapo kwa ajili hiyo
 
Bahati mbaya au nzuri wameandikiwa waliwe maisha Yao ni mafupi so hakuna namna.
Vuta picha wewe pia ungekuwa ng'ombe halafu unasikia fulani anasema mambo hayo?

Kikubwa wanyama wanatendewa ukatili. Kwani hatuwez kula majani?
 
Back
Top Bottom