Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
hizo amenunua au ameokota....?
hizo amenunua au ameokota....?
Aiseee namshukuru mungu sina ndugu mwenye tabia za hivi
Biashara matangazo
Sasa hiv kila mtu utaona kazivaa mitaani
tuko pamoja kiongozi, hawa jamaa uchizi wao unatuongezea maisha... teh teh teh!hahahaha nimeipenda hiyo.asante kwa kunifungulia siku yangu kwa furaha.
fasheni wapi wewe bi dada....!?Amenunua....fashionista Wolper!
ukianza na wewe!
Unataka anaevaa hivi?