Tazama jinsi wakubwa wanavyolindana kwenye suala la ufisadi

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898


Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.

Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.

Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.

N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
 
Hakika. Maskini Hana haki
 
Vipande vya minofu 22 tu hata kilo haifiki .Wanakutandika miaka 22.Mavi-ongozi ya Afrika.
 
Jizi la CCM meno nje na kibaraka wa PoliCCM nae meno nje!

Roho zao kwatu hawana habari.

Wanaofungwa ni wale wa kesi za kuiba kuku tu.

Cc:Lucas Mbwa Wa Shamba.
 
Halafu yule jiggy money anatuambia tuwe wazalendo.
 
expand...
Mama mmoja raia wa Iringa, kakamatwa na nyama ya Swala kala mvua 22!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…