Hakika. Maskini Hana hakiView attachment 2808207
*Jichanganye ewe kijana uibe kukuza.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.
* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.
N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Nchi ya weziBilioni 71, faini milioni 12
Nchi ya kisenge saana hii
Wanaifilisi hii nchi,Nchi ya wezi
Huyu Lucas mwashambwa hajitambui kuwa anatumia kama toilet paper.Wanaofungwa ni wale wa kesi za kuiba kuku tu.
Cc:Lucas Mbwa Wa Shamba.
Halafu yule jiggy money anatuambia tuwe wazalendo.View attachment 2808207
*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.
* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.
N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Sanaaa man katiba mpya lazimaaBilioni 71, faini milioni 12
Nchi ya kisenge saana hii
Kuna mmoja amehukumiwa miaka 20. Kwa kukutwa na vipande vya nyama ya swalaHasara ya 70b unalipishwa 12m
Hasara ya laki 7 unapigwa miaka 22
Bongo nyoko
View attachment 2808207
*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.
* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.
N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Mama mmoja raia wa Iringa, kakamatwa na nyama ya Swala kala mvua 22!!!!!!!!!!!!!expand...