Tazama jinsi wakubwa wanavyolindana kwenye suala la ufisadi

Tazama jinsi wakubwa wanavyolindana kwenye suala la ufisadi

View attachment 2808207

*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.

* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.

N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Polisi anaogopa hata kumsogelea, maana anajiona mdogo kama dagaa nyuma ya FISADI PAPA!
 
Polisi anaogopa hata kumsogelea, maana anajiona mdogo kama dagaa nyuma ya FISADI PAPA!
Lazima polisi ajione mdogo, maana usikute hana hata mia kwenye akaunti yake, anaishi kwa mikopo ya kausha damu.

Halafu fisadi lina mabilioni ya shilingi kwenye akaunti na vitega uchumi kibao
 
View attachment 2808207

*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.

*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.

* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.

N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Hakimu aliyehukumu binti akaozee miaka 22 jela alipewa kimemo kutoka kusikojulikana na atapanda cheo soon
 
View attachment 2808207

*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.

*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.

* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.

N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Mali za nchi yetu ni haki yao sio sisi. Inatia hasira kummqe yaani mafisadi wanalindana wazi wazi ni lini watanzania tutaamka
 
Back
Top Bottom