Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Polisi anaogopa hata kumsogelea, maana anajiona mdogo kama dagaa nyuma ya FISADI PAPA!View attachment 2808207
*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.
* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.
N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Lazima polisi ajione mdogo, maana usikute hana hata mia kwenye akaunti yake, anaishi kwa mikopo ya kausha damu.Polisi anaogopa hata kumsogelea, maana anajiona mdogo kama dagaa nyuma ya FISADI PAPA!
Vigogo wanosoma comments yako unavyo watukana, Wao π wanacheks TuBilioni 71, faini milioni 12
Nchi ya kisenge saana hii
Tiss hawalali πHII NCHI IPO SIKU TU....
π€£πVigogo wanosoma comments yako unavyo watukana, Wao π wanacheks Tu
Na ndio maana naawaambiaga ,π€£π
Tumepigwa na kitu kizito kichwaniNa ndio maana naawaambiaga ,
Mchonga ametudanganya .
Hakuna Uhuru tulioupata isipokuwa Uhuru wa manyani
Hakuna tiss nchi hii wote........Tiss hawalali π
Hakimu aliyehukumu binti akaozee miaka 22 jela alipewa kimemo kutoka kusikojulikana na atapanda cheo soonView attachment 2808207
*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.
* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.
N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.
Mali za nchi yetu ni haki yao sio sisi. Inatia hasira kummqe yaani mafisadi wanalindana wazi wazi ni lini watanzania tutaamkaView attachment 2808207
*Jichanganye ewe kijana uibe kuku.....utafungwa miaka 20.
*Jichanganye ewe askari polisi, hakimu, daktari na nesi, ule rushwa ya laki moja tu. Utafutwa kazi na kifungo cha miaka 20.
* Jichanganye ewe mwalimu ucheze muziki wa Zuchu tu. Utafutwa cheo na kama huna cheo utafutwa kazi.
N.B: Kama bado unaipenda Tanzania utakuwa chizi.