Kuna kujenga alaf Kuna kujenga mjengo km huo
Hahahaaaa kumbe Kuna waja nimewakera.Wivu kazini
Mie mme wake! Una swali jingine??WE MKEWE?
MjengaNyumba haijachorwa hapo nimeiscreen shot hiyo ni video inaonesha huo mjenga na kipande cha mbele inaeonesha diamond anatoka ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawalipa za nini?Yes naweza nikasema anayo kwa kuangalia tuu mauzo yake ya music namaanisha online platform, shows alizofanya , matangazo kweny makampuni makubwa . Kama anawalipa TRA 40M kwa mwezi kwann asiwe na billion
Sent using Jamii Forums mobile app
kutuprove long
Mbona baya au mainjinia wa udsm wameusikaKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno mie hutamkwa na jinsia ya kike sema MIMI ndio sisi wanaume hutamkaMie mme wake! Una swali jingine??
Ahaaah haya nimekuwekea video hiyoJamaa katoka kijijini kaja town kwa shemeji anagongea Simu ya Beki 3, hajui kutofautisha kati ya picha ya nyumba na Mchoro wa nyumba
Sio raman bro nimekuwekea video hiiLakini Frank hii ni ramani ya nyumba BTW nasi tupambane kupata vyetu vya KUSIFIWA na wengine
Jr[emoji769]
Hahahahhaa aiseee ..JFHongera kwa kutuprove long. Sasa mbona nyumba yenyewe ya kuchora?
Tuambie toka Mbagala,Tandare hadi ...wapi?Kuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugali ulihusika, alichimbwa biti aache lasivyo agepotezwa. Vijana msidhani kila king’aacho ni dhahabu. Ni mbunifu sana ila ugali ulimpatia bonge la boost na madame baada ya kuona 5 haina mzaha akasepa maana angekuwa kolokoloni kwa sababu ni architect wa ugaliYes naweza nikasema anayo kwa kuangalia tuu mauzo yake ya music namaanisha online platform, shows alizofanya , matangazo kweny makampuni makubwa . Kama anawalipa TRA 40M kwa mwezi kwann asiwe na billion
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo ni ya kawaida tu,eneo la ndani ni dogo.Tuletee na ya AmonizeKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kutuprove long. Sasa mbona nyumba yenyewe ya kuchora?