Tazama jumba la msanii Diamond Platnumz

Tazama jumba la msanii Diamond Platnumz

Rudi karantini plz
Sawa narudi,nikitoka huko nachora nyumba nyingine.
wewe kama unakaa kwenye nyumba ambayo haikuwahi kuchorwa,kumbuka itakua ni nyumba ya babu wa zamani ndo walikuwa wanaanza kwa kujenga tu,atajua fundi.
 
Sawa narudi,nikitoka huko nachora nyumba nyingine.
wewe kama unakaa kwenye nyumba ambayo haikuwahi kuchorwa,kumbuka itakua ni nyumba ya babu wa zamani ndo walikuwa wanaanza kwa kujenga tu,atajua fundi.
nimekuuliza uliochora au uliyojenga?.
Ukasema imechorwa.. ?
Kinachochorwa ni ramani ya nyumba.
Nyumba inajengwa..

Rudi kalantini haraka
 
nimekuuliza uliochora au uliyojenga?.
Ukasema imechorwa.. ?
Kinachochorwa ni ramani ya nyumba.
Nyumba inajengwa..

Rudi kalantini haraka
Kwani tunaongelea ramani ya nyumba iliyochorwa au tunazungumzia ramani ya nyumba uliyochorwa,tulia achana na mawazo ya Corona utachanganyikiwa.
 
Kwani tunaongelea ramani ya nyumba iliyochorwa au tunazungumzia ramani ya nyumba uliyochorwa,tulia achana na mawazo ya Corona utachanganyikiwa.
ndugu yangu acha nimuite dada ya corona aje kukuchukua naona
 
Hakuna wivu.

Ila jamaa mpaka kitanda anacholalia watu wanakijua.
Acha chuki na double standard diamond hajawahi kupost kitanda mbona watu wakimchukia Harmonize unawaka Kama mbongo wakati wewe mwenyewe unamchukia diamond
 
Jamaa amekiri nyumba si yake amepanga tu, lkn baada ya miaka miwili atahamia kwenye nyumba yake
 
Back
Top Bottom