Commander In Chief
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 315
- 719
Hadi wewe unajua!!!!!!!
Kwahiyo nyumba Ni ya Nani? Mzee baba acha wivu usio na maana kwa vijana wanaojituma kupitia jasho lao
Nimegundua jamaa ni muongo muongo sanaNAULIZIA GARI ILE MPYA YA DIAMOND KAMA IMEFIKA BONGO AU BADO MAANA TULILIGIWA KELELE KWELIKWELI
Ndio umegundua Leo !!!Nimegundua jamaa ni muongo muongo sana
Haha daahh
Kuna watu ndo wamiliki wanachofanya ni kumuweka mbele Diamond kama mmiiliki, kuna wanasiasa ndani yake, wengine wa dili illegal wanatakatishia humo humoDuuuh kumbe sio yake.. Kumbe jamaa fix fix nyingi ee. Ukute hata yale magari ya yake aisee..
Kumbe ndio maana wazazi wake meneja wake Tale wanaishi kwenye lipagala tu. Does this mean kuna watu behind ndio wanatafuna jasho lote la hawa watu au?? Mbona pesa wanapata nyingi tu
Mbezi beach ndiyo Kuna sheria ya kujenga nyumba ya 1.5B??Kwa makadilio ya watu wa majengo wanasema inaweza kuanzia 1.5 B mpk 2 sabb hiyo nyumba amejenga mbezi beach
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio umegundua Leo !!!
Tanzania nzima hakuna watu waongo kama diamond na meko
Ndomana wanajifanya sijui show million 20 mara kiingilio million 5 Kumbe uwizi mtupu..Kuna watu ndo wamiliki wanachofanya ni kumuweka mbele Diamond kama mmiiliki, kuna wanasiasa ndani yake, wengine wa dili illegal wanatakatishia humo humo
Hahah we jamaa aiseeNdio umegundua Leo !!!
Tanzania nzima hakuna watu waongo kama diamond na meko
Hii siyo alopanga mbezi beach bwana mkubwa?..mtuache kidogoKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana Platnumz hapo ameamua kutuprove wrong. View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakatishaji hao, eti show ya playback ndo ya kumlipisha mtu milion 20Ndomana wanajifanya sijui show million 20 mara kiingilio million 5 Kumbe uwizi mtupu..
[emoji3][emoji3]Watakatishaji hao, eti show ya playback ndo ya kumlipisha mtu milion 20
Kwenu umekumbuka Kujenga? Nawazaga siku ya msiba itakuaje? Naendesha gari kali I'll nyumba sinaKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana Platnumz hapo ameamua kutuprove wrong. View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app