Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
- Thread starter
- #21
[emoji16][emoji16]watanzania mwezetu akifanikiwa huwa atukubal
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu kazini
LabdaYes naweza nikasema anayo kwa kuangalia tuu mauzo yake ya music namaanisha online platform, shows alizofanya , matangazo kweny makampuni makubwa . Kama anawalipa TRA 40M kwa mwezi kwann asiwe na billion
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu.com
Nyumba kanunua hajajengaKwa makadilio ya watu wa majengo wanasema inaweza kuanzia 1.5 B mpk 2 sabb hiyo nyumba amejenga mbezi beach
Sent using Jamii Forums mobile app
Amenunua haja pangaAmepanga acha kutuzingua.yes,mziki unalipa lakni hawa wasanii kujenga sijui wanaonaje
Yeye inamuhusu Nini? Kwani mkataba aliyoingia nao ni wa mziki au wakujenga nyumba?Write your reply...vipi na wasanii chini ya lebo yake wamejenga ? naomba kufahamishwa hili
Ukijua mapato yake ya youtube tu sidhani kama utakuja kuandika huu utopolo tena
Hawajajenga ila wanaishi kwenye nyumba zenye hadhii ya juuWrite your reply...vipi na wasanii chini ya lebo yake wamejenga ? naomba kufahamishwa hili
ingependeza zaidi kama ungeiweka hiyo video hapa.
Lakini Frank hii ni ramani ya nyumba BTW nasi tupambane kupata vyetu vya KUSIFIWA na wengineKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
MBONA UNACHUKULIA KAMA NI SPECIAL ISSUE WAKATI NI KITU CHA KAWAIDA.. NA KILA MMOJA ANAJENGA KULINGANA NA KIPATO CHAKE..Kuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio nyumba yeye ni mpangaji tu Kama watu wengine,usishangae kesho konde boy akipost na yeye kapanga hapo,wanapishana koridoni tu.Kuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana platnumz hapo ameamua kutuprove long View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app