Tazama kazi za Rais Samia

Tazama kazi za Rais Samia

Joined
Apr 11, 2024
Posts
24
Reaction score
55
Unaweza Ukawa Mgeni CCM Ila Usishindwe Kufahamu Kuwa Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. SSH, Ameitekeleza Ilani, Kwani;

1. Kaimarisha Demokrasia
2. Kazingatia Usawa wa Kijinsia
3. Kainua Sekta Ya Utalii
4. Ushirikiano Wake Kwenye Michezo Leo
Hii Tuna Timu Za Ndani Zinazofanya
Vizuri Kimataifa
5. Tuna Uhuru Ulio Direct na Indirect
6. Kafungua Milango Ya Ajira, Na Anaendelea Kuchipua Miradi Mbalimbali Ili Kuongeza Mianya Ya Ajira
7. Kaendelea Kuimarisha Ulinzi na Usalama Kwenye Mipaka Ya Nchi
8. Tanzania Inaendelea Kuimarika
Kimahusiano na Mataifa Mengine
9. Shirika La Ndege Analiendeleza, Japo Faida Yake Itakuja Kuonekana Baadaye
10. Anaendelea Kuboresha Sekta
Mbalimbali Kwa Njla Moja Au Nyingine, Elimu, Kilimo, Afya, n.k
11. Hana Ubaguzi, Msikivu, Na Msuluhishaji

Hapo Pichani Ni Miongoni mwa Miradi (Shule, Ujenzi wa Kituo cha Polisi, Ujenzi wa Vyoo, Uboreshwaji wa Majengo na Ujenzi wa Wodi Mpya Kwenye Hospitali Ya Wilaya Kivule, Ukamilishwaji wa Shule Ya Kidato Cha Tano na Cha Sita Ya Kivule, Na Kadhalika Aliyoitekeleza Kwenye Kata Ya Kivule, Iliyopo Wilaya Ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam.

KAZI IENDELEE 🇹🇿
641EC311-609C-4AE0-941E-E27974FEAD3D.jpeg
 
Unaweza Ukawa Mgeni CCM Ila Usishindwe Kufahamu Kuwa Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. SSH, Ameitekeleza Ilani, Kwani;

1. Kaimarisha Demokrasia
2. Kazingatia Usawa wa Kijinsia
3. Kainua Sekta Ya Utalii
4. Ushirikiano Wake Kwenye Michezo Leo
Hii Tuna Timu Za Ndani Zinazofanya
Vizuri Kimataifa
5. Tuna Uhuru Ulio Direct na Indirect
6. Kafungua Milango Ya Ajira, Na Anaendelea Kuchipua Miradi Mbalimbali Ili Kuongeza Mianya Ya Ajira
7. Kaendelea Kuimarisha Ulinzi na Usalama Kwenye Mipaka Ya Nchi
8. Tanzania Inaendelea Kuimarika
Kimahusiano na Mataifa Mengine
9. Shirika La Ndege Analiendeleza, Japo Faida Yake Itakuja Kuonekana Baadaye
10. Anaendelea Kuboresha Sekta
Mbalimbali Kwa Njla Moja Au Nyingine, Elimu, Kilimo, Afya, n.k
11. Hana Ubaguzi, Msikivu, Na Msuluhishaji

Hapo Pichani Ni Miongoni mwa Miradi (Shule, Ujenzi wa Kituo cha Polisi, Ujenzi wa Vyoo, Uboreshwaji wa Majengo na Ujenzi wa Wodi Mpya Kwenye Hospitali Ya Wilaya Kivule, Ukamilishwaji wa Shule Ya Kidato Cha Tano na Cha Sita Ya Kivule, Na Kadhalika Aliyoitekeleza Kwenye Kata Ya Kivule, Iliyopo Wilaya Ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam.

KAZI IENDELEE 🇹🇿View attachment 2961937
Chawa mgeni
 
Unaweza Ukawa Mgeni CCM Ila Usishindwe Kufahamu Kuwa Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. SSH, Ameitekeleza Ilani, Kwani;

1. Kaimarisha Demokrasia
2. Kazingatia Usawa wa Kijinsia
3. Kainua Sekta Ya Utalii
4. Ushirikiano Wake Kwenye Michezo Leo
Hii Tuna Timu Za Ndani Zinazofanya
Vizuri Kimataifa
5. Tuna Uhuru Ulio Direct na Indirect
6. Kafungua Milango Ya Ajira, Na Anaendelea Kuchipua Miradi Mbalimbali Ili Kuongeza Mianya Ya Ajira
7. Kaendelea Kuimarisha Ulinzi na Usalama Kwenye Mipaka Ya Nchi
8. Tanzania Inaendelea Kuimarika
Kimahusiano na Mataifa Mengine
9. Shirika La Ndege Analiendeleza, Japo Faida Yake Itakuja Kuonekana Baadaye
10. Anaendelea Kuboresha Sekta
Mbalimbali Kwa Njla Moja Au Nyingine, Elimu, Kilimo, Afya, n.k
11. Hana Ubaguzi, Msikivu, Na Msuluhishaji

Hapo Pichani Ni Miongoni mwa Miradi (Shule, Ujenzi wa Kituo cha Polisi, Ujenzi wa Vyoo, Uboreshwaji wa Majengo na Ujenzi wa Wodi Mpya Kwenye Hospitali Ya Wilaya Kivule, Ukamilishwaji wa Shule Ya Kidato Cha Tano na Cha Sita Ya Kivule, Na Kadhalika Aliyoitekeleza Kwenye Kata Ya Kivule, Iliyopo Wilaya Ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam.

KAZI IENDELEE 🇹🇿View attachment 2961937
Siku nyingine weka namba ya Simu ewe chawa.
 
Unaweza Ukawa Mgeni CCM Ila Usishindwe Kufahamu Kuwa Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. SSH, Ameitekeleza Ilani, Kwani;

1. Kaimarisha Demokrasia
2. Kazingatia Usawa wa Kijinsia
3. Kainua Sekta Ya Utalii
4. Ushirikiano Wake Kwenye Michezo Leo
Hii Tuna Timu Za Ndani Zinazofanya
Vizuri Kimataifa
5. Tuna Uhuru Ulio Direct na Indirect
6. Kafungua Milango Ya Ajira, Na Anaendelea Kuchipua Miradi Mbalimbali Ili Kuongeza Mianya Ya Ajira
7. Kaendelea Kuimarisha Ulinzi na Usalama Kwenye Mipaka Ya Nchi
8. Tanzania Inaendelea Kuimarika
Kimahusiano na Mataifa Mengine
9. Shirika La Ndege Analiendeleza, Japo Faida Yake Itakuja Kuonekana Baadaye
10. Anaendelea Kuboresha Sekta
Mbalimbali Kwa Njla Moja Au Nyingine, Elimu, Kilimo, Afya, n.k
11. Hana Ubaguzi, Msikivu, Na Msuluhishaji

Hapo Pichani Ni Miongoni mwa Miradi (Shule, Ujenzi wa Kituo cha Polisi, Ujenzi wa Vyoo, Uboreshwaji wa Majengo na Ujenzi wa Wodi Mpya Kwenye Hospitali Ya Wilaya Kivule, Ukamilishwaji wa Shule Ya Kidato Cha Tano na Cha Sita Ya Kivule, Na Kadhalika Aliyoitekeleza Kwenye Kata Ya Kivule, Iliyopo Wilaya Ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam.

KAZI IENDELEE 🇹🇿
Hizo kazi ulizotaja niza mtendaji wa kata. Thats very cheap for a country president.
 
Unaweza Ukawa Mgeni CCM Ila Usishindwe Kufahamu Kuwa Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. SSH, Ameitekeleza Ilani, Kwani;

1. Kaimarisha Demokrasia
2. Kazingatia Usawa wa Kijinsia
3. Kainua Sekta Ya Utalii
4. Ushirikiano Wake Kwenye Michezo Leo
Hii Tuna Timu Za Ndani Zinazofanya
Vizuri Kimataifa
5. Tuna Uhuru Ulio Direct na Indirect
6. Kafungua Milango Ya Ajira, Na Anaendelea Kuchipua Miradi Mbalimbali Ili Kuongeza Mianya Ya Ajira
7. Kaendelea Kuimarisha Ulinzi na Usalama Kwenye Mipaka Ya Nchi
8. Tanzania Inaendelea Kuimarika
Kimahusiano na Mataifa Mengine
9. Shirika La Ndege Analiendeleza, Japo Faida Yake Itakuja Kuonekana Baadaye
10. Anaendelea Kuboresha Sekta
Mbalimbali Kwa Njla Moja Au Nyingine, Elimu, Kilimo, Afya, n.k
11. Hana Ubaguzi, Msikivu, Na Msuluhishaji

Hapo Pichani Ni Miongoni mwa Miradi (Shule, Ujenzi wa Kituo cha Polisi, Ujenzi wa Vyoo, Uboreshwaji wa Majengo na Ujenzi wa Wodi Mpya Kwenye Hospitali Ya Wilaya Kivule, Ukamilishwaji wa Shule Ya Kidato Cha Tano na Cha Sita Ya Kivule, Na Kadhalika Aliyoitekeleza Kwenye Kata Ya Kivule, Iliyopo Wilaya Ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam.

KAZI IENDELEE [emoji1241]View attachment 2961937
Ng'ombe

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Demokrasia imeimarika huku mnahubiri habari za fomu moja kuelekea 2025!
 
Usijifanye unaharaka sana kuliko sisi ona sasa umesahu kazi moja kubwa kuliko. Tunaisubiri uilist
 
Back
Top Bottom