Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
jiwe angavu wewe unaonaje?Daah..huu unafiki wa kiwango cha lami..cha ajabu hawa ndio waje kuletea hii nchi maendeleo..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoa mchango wangu wa mabandiko mawili kuhusu uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
heshima yako mkuu wanguNimetoa mchango wangu wa mabandiko mawili kuhusu uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.
Bandiko la kwanza ni hili
Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...www.jamiiforums.com
Na bandiko la pili ni hili
Nautakia uzinduzi mwema wa Royal Tour siku ya Jumatatu ya Pasaka.Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...www.jamiiforums.com
Paskali
Ila hapo kwenye hicho kionjo wangeongeza Mt. Kilimanjaro tu ingekuwa poa na kuondoa ule uvumi uliodumu muda mrefu maana nimeona MeruNdio maana tumerecord hii video mjomba
Mkuu Pascal Mayalla salama?Nimetoa mchango wangu wa mabandiko mawili kuhusu uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.
Bandiko la kwanza ni hili
Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...www.jamiiforums.com
Na bandiko la pili ni hili
Nautakia uzinduzi mwema wa Royal Tour siku ya Jumatatu ya Pasaka.Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...www.jamiiforums.com
Paskali
Nafikiri kwenye filamu yenyewe upoIla hapo kwenye hicho kionjo wangeongeza Mt. Kilimanjaro tu ingekuwa poa na kuondoa ule uvumi uliodumu muda mrefu maana nimeona Meru
Hata mie nadhani upo ila niliwaza kwa sauti tu baada ya kuona hicho kionjoO
Nafikiri kwenye filamu yenyewe upo
ππππHata mie nadhani upo ila niliwaza kwa sauti tu baada ya kuona hicho kionjo
Yaani mchana kweupe tumepigwa na kitu kizito kichwaniKwenye hili watanzania mmepigwa parefu
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
πππCheck filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
tena hao ni wachache sana,Unawajua watalii million 5? Watalii million 5 kamwe hawawezi letwa na movie.....
This is best for the presidentCheck filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
SureThis is best for the president