Serikali ya awamu ya sita imeboresha mazingira ya uwekezaji na haya ni baadhi ya maeneo ambayo yameboleshwa;
Uchumi Imara
Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 4.9, hii inatokana na mageuzi makubwa ya kiuchumi na sera nzuri nchini zilizofanya na Rais Samia Suluhu Hassan
Utajiri wa maliasili
Rais Samia kupitia filamu ya “The Royal Tour Tanzania” ameweza kutumia maliasili na vivutio vinavyopatikana Tanzania kama vyanzo vya kuwavutia wawekezaji hapa nchini
Eneo la kijiografia
Tanzania inapakana na bahari ya Hindi, Mh. Samia Sulhu Hassan ameimarisha Bandari za Tanzania na kuchochea moja kwa moja Biashara na kuunganisha bala la Asia nachi kama Uganda, DRC Congo, Rwanda na Burundi .
Amani na utulivu wa kisiasa
Rais Samia ameendeleza na kuimarisha Amani na utulivu wa kisiasa, hii imesaidia sana katika uwekezaji Tanzania
Miundombinu bora
Chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ameendeleza na kujenga miundombinu mipya nchini, huduma hizi zinachochea sana uwekezaji
Rais Samia Suluhu Hassan anatufungulia dunia tuendelee kumuombea afanye mambo makubwa zaidi
Uchumi Imara
Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 4.9, hii inatokana na mageuzi makubwa ya kiuchumi na sera nzuri nchini zilizofanya na Rais Samia Suluhu Hassan
Utajiri wa maliasili
Rais Samia kupitia filamu ya “The Royal Tour Tanzania” ameweza kutumia maliasili na vivutio vinavyopatikana Tanzania kama vyanzo vya kuwavutia wawekezaji hapa nchini
Eneo la kijiografia
Tanzania inapakana na bahari ya Hindi, Mh. Samia Sulhu Hassan ameimarisha Bandari za Tanzania na kuchochea moja kwa moja Biashara na kuunganisha bala la Asia nachi kama Uganda, DRC Congo, Rwanda na Burundi .
Amani na utulivu wa kisiasa
Rais Samia ameendeleza na kuimarisha Amani na utulivu wa kisiasa, hii imesaidia sana katika uwekezaji Tanzania
Miundombinu bora
Chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ameendeleza na kujenga miundombinu mipya nchini, huduma hizi zinachochea sana uwekezaji
Rais Samia Suluhu Hassan anatufungulia dunia tuendelee kumuombea afanye mambo makubwa zaidi